msaada jaman wataalam wa i.t ukiwemo chief mkwawa

msaada jaman wataalam wa i.t ukiwemo chief mkwawa

cleokippo

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2014
Posts
2,118
Reaction score
1,806
wakuu naomben msaada jaman! nime5umiwa sim ña kaka yangu toka china, aina ya cm ni haier ni matoleo mapya aya, ina androi ya 4.22 na ina option 2 za internet yaan 2g na 3g lakin 3g haisapot, nimejaribu ku set lkñ imeshindikana hivyo ñaomben msaada jaman. niki set 3g only hata mtandao ndio cpàt kabisa hivyo ipo kwenye 2g/3g auto
 
wakuu naomben msaada jaman! nime5umiwa sim ña kaka yangu toka china, aina ya cm ni haier ni matoleo mapya aya, ina androi ya 4.22 na ina option 2 za internet yaan 2g na 3g lakin 3g haisapot, nimejaribu ku set lkñ imeshindikana hivyo ñaomben msaada jaman. niki set 3g only hata mtandao ndio cpàt kabisa hivyo ipo kwenye 2g/3g auto

Kama ukiweka 3G only na unaona hupati mtandao basi ujue eneo ulilopo halina network ya 3G.
 
hapo ni kwamba
1.eneo ulipo hakuna 3g
2. eneo ulipo kuna 3g lakini band za simu yako hazisuport mitandao ya tanzania

hebu eka jina la simu full watu waigoogle waangalie
 
jina kamili la cm ni haier ni nipo morogoro katikati ya mji , yaan mjin kabisa na bando ninazotumia ni university offer kwa hiyo nina bando ya kutosha xn! kuna mchangiaji mmoja kasema eneo nililopo hakuna 3G kwa kuwa nikiweka 3G only cpati mtandao ilo c kweli kwa kuwa nipo town kabisa. apa natumia çm ya kaka yangu kuomba msaada kwenye ili jukwaa maana mi internet kwenye çm yangu haipo! changamoto hizo chief
 
jina kamili la cm ni haier ni nipo morogoro katikati ya mji , yaan mjin kabisa na bando ninazotumia ni university offer kwa hiyo nina bando ya kutosha xn! kuna mchangiaji mmoja kasema eneo nililopo hakuna 3G kwa kuwa nikiweka 3G only cpati mtandao ilo c kweli kwa kuwa nipo town kabisa. apa natumia 0Š4m ya kaka yangu kuomba msaada kwenye ili jukwaa maana mi internet kwenye 0Š4m yangu haipo! changamoto hizo chief

Ukisema haier ni kama unasema samsung mi siwezi jua ni haier ipi. Huenda kuna makumi au mamia ya simu za haier.

Toa battery angalia model yake au kama ina box angalia
 
Huo mtandao anaotumia kaka yako ndio unaoutumia? Hakikisha mtandao unaotumia una 3G huko...
 
Huo ni ugonjwa..
Kuna sim hazipandishi 3g.unapeleka kwa mafundi wa simu-soft wanapandisha.
Ni sim nyingi zinakujaga hivyoo
Kwo usipate shidA
 
wakuu naomben msaada jaman! nime5umiwa sim ña kaka yangu toka china, aina ya cm ni haier ni matoleo mapya aya, ina androi ya 4.22 na ina option 2 za internet yaan 2g na 3g lakin 3g haisapot, nimejaribu ku set lkñ imeshindikana hivyo ñaomben msaada jaman. niki set 3g only hata mtandao ndio cpàt kabisa hivyo ipo kwenye 2g/3g auto

#Cleokippo , iyo simu yako haiko na uwezo wa ku-connect 3G network speedy hata kama imeandikwa ina support 2G/3G. Firstly, don't limit your device to receive the roaming network speedy by setting mode 3G only, your device should remain on 2G/3G auto. By doing so you allow your device to capture the network which is roaming by the area. You know, internet network availability differ according to some areas and also it depends on the device you are using how powerful GHZ is to load the network. Hata kama hapo unatumia simu ya kakako je na yeye anatumia the same phone brand and model?
 
unamsingizia kaka yako kakununulia ukute umenunua mwenyewe
 
tuma imei number za hiyo simu nikusaidie kama haujui imei inapatikanaje bonyeza *#06# zitatokea tarakimu 15 hizo ndizo imei number
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom