Msaada Iphone 5 inakataa kufunguka

Msaada Iphone 5 inakataa kufunguka

Slm

Senior Member
Joined
Jan 26, 2011
Posts
103
Reaction score
4
Hello,

Hii iphone 5 nikiiwasha inataka niingize apple ID ya mtu mwingine ili ifunguke nimejitahidi lakini haikubali

kuna njia yeyote ya kuifungua nijuzen jaman
 
Hello,
Hii iphone 5 nikiiwasha inataka niingize apple ID ya mtu mwingine ili ifunguke nimejitahidi lakini haikubali kuna njia yeyote ya kuifungua nijuzen jaman

Hiyo ndo icloud lock hata ufanyeje mpaka mwenye nayo mambo ya apple security
 
Siku zote mnaonywa msinunue simu za wizi hamsikii, Nazi kwako lazima utaitupa tu hata ufanyeje haitafunguka labda uirudishe kiwandani.
 
Ipo njia moja na rahisi, mtafute mwenye nayo halafu muombe password
 
Ipo njia moja na rahisi, mtafute mwenye nayo halafu muombe password

Hahahaa mwizi kumuomba ufunguo mwenye nyumba ili akaibe! La msingi km akiiwasha inaleta contact za mtu akazitumie kumjulisha kuwa ana simu yake km si hivyo kaiuze minofu au kaa nayo till further notice
 
Ni PM hyo email inayoonekana hapo.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hello,
Hii iphone 5 nikiiwasha inataka niingize apple ID ya mtu mwingine ili ifunguke nimejitahidi lakini haikubali kuna njia yeyote ya kuifungua nijuzen jaman

Tuongee biashara ya earphone jack Slm
 
Last edited by a moderator:
Hello,

Hii iphone 5 nikiiwasha inataka niingize apple ID ya mtu mwingine ili ifunguke nimejitahidi lakini haikubali

kuna njia yeyote ya kuifungua nijuzen jaman
cha kukushauri hapa labda utoe screen ya juu na chini ukaviuze kwa mafundi simu ili urudishe pesa uliyonunulia vinginevyo baki na kopo lako la maonesho i5 ndani kama historia ya kupenda mteremko.........
 
Try to google icloud unlock utapata ufumbuzi coz wazungu ni watu wajanja sana wanapotengeneza lock basi ujue kuna ufunguo wake hali kadharika virus ina antvirus yake.
 
My sister aliiokota huko UK alipokuwa anarudi ndipo akanipa mimi.
 
Try to google icloud unlock utapata ufumbuzi coz wazungu ni watu wajanja sana wanapotengeneza lock basi ujue kuna ufunguo wake hali kadharika virus ina antvirus yake.

Asante kwa ushauri ngoja nijaribu
 
Back
Top Bottom