MSAADA iPhone 4

MSAADA iPhone 4

OSAM

Member
Joined
May 14, 2011
Posts
31
Reaction score
3
Wadau naombe iso inayoruhusu kutumi line zetu kwenye iphone 4 au namna ya kufanya cofiguration ili ikubali kusoma network zetu.
 
Wadau naombe iso inayoruhusu kutumi line zetu kwenye iphone 4 au namna ya kufanya cofiguration ili ikubali kusoma network zetu.
Mkuu hujasomeka vizuri, unamaana simu yako ipo locked kwa mtandao fulani wa nje? na ukiweka sim card zetu za kibongo inakuwaje?
 
Ukiweka line inadetect tu kuwa kuna line lakini haitambui network nilijaribu kuuliza voda nikaambiwa mpaka niiflash nikajaribu kucheki kwa wahindi fulani wakaniambia niwaachie model ya simu nirudi baada ya siku kumi nimejaribu kucheki online forums nimeona kuna namna fulani but ya kurestore but up to now ninaendelea kudownload ISO ya hiyo store na haijamaliza kama kuna njia rahisi naombeni msaada wadau.
 
Just update to the latest firmware 5.1 kama haipo locked itakuwa super hata kama hauna plenty of internet unaweza kwenda pale mlimani city kabda hujafika duka la tigo huku mwanzoni kunamtu anabrodicast free wifi ya kumwaga na nifast. hata huitaji kugogwa na wahindi bei za kutupa
 
Back
Top Bottom