Absolutely. Utaendelea tu kufanya kazi kama askari magereza wa kawaida, huku ni agent wa TISS kwa siri. Ipo hivyo sio tu kwenye vyombo vya Ulinzi na Usalama, bali hata kwenye mamlaka za kiraia pia.
Polisi wamewahi kuanza mafunzo mtawakuta na kuwaacha.Mzigo wa polisi ni miezi 9 ila magereza ni miezi 6 pia kuna mtaala umeongezeka katika mafunzo ya polisi hivyo yamkini wakapiga mwaka 1 ijapokuwa sina uhakika sana.
Polisi wamewahi kuanza mafunzo mtawakuta na kuwaacha.Mzigo wa polisi ni miezi 9 ila magereza ni miezi 6 pia kuna mtaala umeongezeka katika mafunzo ya polisi hivyo yamkini wakapiga mwaka 1 ijapokuwa sina uhakika sana.
Absolutely. Utaendelea tu kufanya kazi kama askari magereza wa kawaida, huku ni agent wa TISS kwa siri. Ipo hivyo sio tu kwenye vyombo vya Ulinzi na Usalama, bali hata kwenye mamlaka za kiraia pia.
Hilo mbona ni jambo la kawaida sana mkuu.....sababu hata hao wanaofanya kazi makao makuu ni binaadamu pia wana ndugu,marafiki,majirani na watoto pia ambao wanazitaka pia hizo nafasi