Kama uliombea makao makuu...mkeka si wameutoa Jana...kwahiyo utacheki mkeka ulitumwa online....kwahyo utafute utaupata maana niliuona lakini siku deal nao aidha ningekutumia hapa
Kama uliombea makao makuu...mkeka si wameutoa Jana...kwahiyo utacheki mkeka ulitumwa online....kwahyo utafute utaupata maana niliuona lakini siku deal nao aidha ningekutumia hapa
Nashangaa watu mnaulizia mkeka wakati watu wameshapigiwa simu na toka Jana wameanza kuripoti chuoni KIWIRA MBEYA. wengi wamechukuliwa kutoka makambi ya jkt
Nashangaa watu mnaulizia mkeka wakati watu wameshapigiwa simu na toka Jana wameanza kuripoti chuoni KIWIRA MBEYA. wengi wamechukuliwa kutoka makambi ya jkt
kwa kidato cha 4 usaili songea ulikua juz, vijana walikua 5 ikabidi wengine wakachukuliwe kambini mlale jumla wakawa 17, hyo ni ngazi ya mkoa, majibu waliambiwa yatatoka pamoja na majina ya wenye fani
kwa kidato cha 4 usaili songea ulikua juz, vijana walikua 5 ikabidi wengine wakachukuliwe kambini mlale jumla wakawa 17, hyo ni ngazi ya mkoa, majibu waliambiwa yatatoka pamoja na majina ya wenye fani
Sasa wanasema hawataki wasomi kwenye tangazo leo wanatangaza nini, Kama sio kuharibu pesa za mwananchi, wawe wanasema tunataka tu waliofeli inajulikana.
Jamaa yangu kaniambia usaili magereza wilays niliopo oral walkua saba tu na wanaohitajika 2, wote vgezo wanavyo bad finally wakarusha karatas juu uchague kimoja,bas ukichagua kimeandkwa HAPANA ndio mwendo waliumaliza
Kama uliombea makao makuu...mkeka si wameutoa Jana...kwahiyo utacheki mkeka ulitumwa online....kwahyo utafute utaupata maana niliuona lakini siku deal nao aidha ningekutumia hapa