Nimepangwa mbeya nami niko dsm je inawezekana kufanyia nilipo??? mwenye kujua ple
Ndugu zangu acheni fikra potofu mnang'ang'ania dar mlizaliwa uko kwan dar kuna nn ambacho hakipo mikoani nendeni mikoani fursa nyingi zipo uko msipo kuwa makini hamta timiza ndoto zenu ata siku moja yangu ni hayo tu, asante.
Umekurupuka....wengine tupo dar tunadunduliza na vibarua vyetu vya kulipwa kwa siku huku tukifanya application.....hivi kwa mimi ninayepata elfu tano kwa siku huoni kama nauli hadi mbeya itaathiri sana kiwalleti changu hiki cha mtumba? Wengine vijijini kwetu hata network ya simu haipatikani unataka nikakae huko nilime viazi? Tungekuwa hatupendi mikoani wala tusingeapply hii post ya hr maana nafasi za kufanya kazi zipo wilayani na mikoani....probability ya kupata kazi yenyewe ndogo unataka ni-risk pakubwa ili nigundue nini? Btw sidhani kama kuna mtu kakataa kwenda mkoani ila watu wanaangalia kama kuna uwezekano wa kupunguza gharama zisizokuwa za lazima full stop.
Siku nyingine tumia anuani ya dsm.. Anuan ni oale unapopatikana kwa mda huo
utumishi wamecheki anuan wakajua ndipo ulipo
beba mzigo au ukionaje ipotezee till next time
Ndugu zangu acheni fikra potofu mnang'ang'ania dar mlizaliwa uko kwan dar kuna nn ambacho hakipo mikoani nendeni mikoani fursa nyingi zipo uko msipo kuwa makini hamta timiza ndoto zenu ata siku moja yangu ni hayo tu, asante.
Umekurupuka....wengine tupo dar tunadunduliza na vibarua vyetu vya kulipwa kwa siku huku tukifanya application.....hivi kwa mimi ninayepata elfu tano kwa siku huoni kama nauli hadi mbeya itaathiri sana kiwalleti changu hiki cha mtumba? Wengine vijijini kwetu hata network ya simu haipatikani unataka nikakae huko nilime viazi? Tungekuwa hatupendi mikoani wala tusingeapply hii post ya hr maana nafasi za kufanya kazi zipo wilayani na mikoani....probability ya kupata kazi yenyewe ndogo unataka ni-risk pakubwa ili nigundue nini? Btw sidhani kama kuna mtu kakataa kwenda mkoani ila watu wanaangalia kama kuna uwezekano wa kupunguza gharama zisizokuwa za lazima full stop.
Ndugu zangu acheni fikra potofu mnang'ang'ania dar mlizaliwa uko kwan dar kuna nn ambacho hakipo mikoani nendeni mikoani fursa nyingi zipo uko msipo kuwa makini hamta timiza ndoto zenu ata siku moja yangu ni hayo tu, asante.
Umekurupuka....wengine tupo dar tunadunduliza na vibarua vyetu vya kulipwa kwa siku huku tukifanya application.....hivi kwa mimi ninayepata elfu tano kwa siku huoni kama nauli hadi mbeya itaathiri sana kiwalleti changu hiki cha mtumba? Wengine vijijini kwetu hata network ya simu haipatikani unataka nikakae huko nilime viazi? Tungekuwa hatupendi mikoani wala tusingeapply hii post ya hr maana nafasi za kufanya kazi zipo wilayani na mikoani....probability ya kupata kazi yenyewe ndogo unataka ni-risk pakubwa ili nigundue nini? Btw sidhani kama kuna mtu kakataa kwenda mkoani ila watu wanaangalia kama kuna uwezekano wa kupunguza gharama zisizokuwa za lazima full stop.
Umewasaidia wenye fikra potofu ahsante kwa kuwaelimisha