Hata mimi ni vivyo hivyo niko mkoa hao waliopo kwenye hizi ofisi za mikoa ni mbumbu mzungu wa reli hawajui chochote ndio maana tunakimbilia JF ,kwani JF ni zaidi ya hao walioko huko kwenye hizo customer care za hayo makampuni ya simu,wengi ni akina dada na kazi ni kujishebedui na visimu vyao tu badala ya kufanya kazi na kujifunza,kinachoshangaza ni kuwa kuna watu kwa mfano wameaajiriwa kwa kushughulikia matatizo ya uungwanishaji wa intaneti na vitu vingine lakini si wataalamu wa hizo simu,nilitegemea hapo kungekuwa na watu waliosomea ufundi wa simu na mawsiliano,lakini wapi hata setting hawajui,ukiuliza