Msaada: Huu ni upendo au nimerogwa?

Msaada: Huu ni upendo au nimerogwa?

Wee kijana bado ni binadamu kabisa, huyo ni malaya na malaya huwa haachwi wala hapendwi so huwa analiwa tu na kulipwa, hakuna malengo wala hisia ni just kutiana na kupotezeana mda kisha unasaka alietulia unaoa kimya kimya unamwacha malaya kwenye mataa
 
Wee kijana bado ni binadamu kabisa, huyo ni malaya na malaya huwa haachwi wala hapendwi so huwa analiwa tu na kulipwa, hakuna malengo wala hisia ni just kutiana na kupotezeana mda kisha unasaka alietulia unaoa kimya kimya unamwacha malaya kwenye mataa
 
Unaongea sana,na usipokuwa makini ukimwi utaukwaa,Acha kuangalia nyuma.


Narudia kuna ugonjwa unakitafuta kwa huyo changudoa
 
Mnapoweka fani zenu kwenye mapenzi,,,mara xray, ukampima sijui nini...mnanichosha mie.... ..serious mkuu piga sana sala utoke kwenye hilo shimo, shetani amekushikilia unahitaji kufunguliwa, Ukiomba utaonyeshwa mkeo halisi...leo Becky natoa ushauri wa kilokole haleluyaaaaaaaaaaaaaaaaaaa lol

Aki wew n chizi
 
Hahahaha NIAMIN NACHOKISEMA HAPA


HAUJAWEKEWA UCHAWI WALA BIBI YAKE.


ISIPOKUA, HUYO NDIO DEMU ALIYEKUPA UHURU WAKUMTOMBAA MUDA WOWOTE UNAOTAKA.

NAKWAKUA KWAKO MBOOO INANGUVU KULIKO UBONGO NDIO MAANA UBONGO UMEJIAMINISHA KUA HUYO DEMU UNAMPENDAA SANAAA YAAN KAKULOGAA YAAN NINGUMU KUMUACHA.




Na yeye keshakujua udhaifu wako , ndio maana amekutumia picha yaKuma, ulivyoiona tu ukawaza unavyoitomba unavyotaka ,anavyoliagaaa, yale masauti yanakupa mzukaaa


In fact you are a nice guy , ngono itakuvuruga sanaa, Utapigana ,utachomwa visu sababu ya kujifanya unajua kupendaa.


Madem wa ivo, nikutomba na kupiga chini..

Tatizo lako, Unahisi kama ulimpata kwa bahati nahuwez pata demu mwengine


Mamaaee,utapiga nyetoo sanaa au ukubaliane na ako kamalaya kako .... Hakawezi badilika mpaka pale UTAKAPOBADILIKA WEWE.

 
Aisee! we jamaa una moyo kweli
moyo upumbavu,demu kasha jua jamaa domo zege hawezi pata mtu mwingine yaani anakazwa nje na unafahamu na yeye anathibitisha alafu unasamehe hahahahaha hii inafurahisha.

unaenda unalia kwa maza, badae unabembelezwa unakubali aiseeh kuna tatizo mahari (vile ujawah kuwa na michepuko ndo maana unaendeshwa)

tafuta videmu vyako vi 2-3 huyo unamsahau kesho tu
 
Habari Zenu Wakuu;

Nipo Katikati Hali Fulani Ngumu Sana, Nimeliweka Hili Ila Sasa Nimeshindwa, Nahitaji Msaada, Tena Mkubwa Sana, Maelezo Yangu Ni Marefu Ila Naomba Soma Na Nishauri.

Nipo Kwenye Mahusiano Ya Huyu Binti For 10 Years Since 2011 Tulikutana Shule O Level Mjin Morogoro Akiwa Form 1 Mim Form 3, Kwao Dar Mim Moro, Mi Nikamaliza Shule Pale Nikaingia A Level Ila Yeye Bahat Mbaya Alivyomaliza Alifel Wakat Mim Ndio Naingia College Moja Ya Afya Huku Kusini.

MWANZO WA TATIZO

Kutokana Na Matokeo Yake Alijiunga Na College Akisomea Secretary Dar, Hapo Ndio Kimbembe Kilipoanza Mawasiliano Yakapungua Sana So Nikawa Nikipata Nafas Nakuja Dar Kushitua Kidogo Na Kumuona.

Mara Ya Kwanza Nakuja Dar Nakuta Kitu Hakina Uhalisia Aisee Yaan Hakibani Kabisa Sisi Wa Afya Tunasema Parous Hymen, Wakat Hajwahi Kuzaa So Nikahis Kuna Wahun Wanachakata Kiwanda Hiki, Nilivyomuweka Doggy Damu Zikaanza Kutoka Ni Clots Nikamuuliza Vip Akasema Fresh Na Hana Hata Habari Ila Mim Nikampima Na Mkono PV Exam Nikakuta Njia Iko Open Nikajua Hii Ni Incomplete Nikamafisha Pale Pale Guest Nikakimbia Mawasiliano Pharmacy Nikanunua Oxytocin Na Pedi Nikamvalisha Na Kumchoma Then Nikamsindikiza Kwao Nikarud Guest Nikamalizia Na Nyeto Asubuh Nikasepa Kusini Bila Kumsema Wala Kumuonyesha Kuwa Nina Hasira Nae Na Una Jambo Nimegundua, Nilipofika Chuo Nikaongea Nae Akaniambia Ukwel Baada Ya Kumbana Kuwa Aliliwa Na Dr Aliyekuw Anamuhudumia Mama Akiwa Anaumwa Kitandani So Nikamuelewa Nikamsamehe.

Mara Ya Pili

Nikaja Tena Dar Safar Nyingine Nimemnunulia Na Simu, Kabla Sijamla Machale Yakanicheza, Na Hiki Kitu Nawasisitiza Sana Wakuu Ukiona Kuna Kitu Unahis Juu Ya Mpenz Wako Fuatilia Ujiridhishe Ving Ni Kweli, So Nikachukua Simu Yake Kuangalia Nakuta Message Za Mhuni Anasema " Mbona Napiga Simu Hupokei Ole Wako Uwe Umeniambukiza Ukimwi, Malaya Wewe" Nikapaniki Ila Nina Nyege So Nikamuuliza Then Nikamchapa Fasta Kesi Ikaendelea Baada Ya Kunieleza Nikamkaushia Kam Wiki 2 Then Nikaona Fresh Acha Na Hili Lipite Tukarudiana Tena Akiniahid Atabadilika.

Mara Ya 3

Kuna Kipind Recent Alikuja Kusini Akitokea Dar So Nikamla Then Akarud Dar, After 4 Weeks Akaniambia Ana Mimba YANGU Mim Sikukataa Co Nilisahapa Sitakuja Kukataa Mimba, Mtoto Nalea Kama Mama Ake Alichepuka Atajua Mwenyew Mim Pia Nimelelewa Na Baba Sio Wangu Na Alinijal Kama Mwanae Wa Damu So Nina Hiyo Spirit. Nikamwambia Aje Kusini Tufungue Kadi Maana Kuna Mahali Nipo Najishikiza So Akaja Nikampeleka Hospital Moja Jamaa Ananifahamu Akampima Ila Nikamuomba Picha Na Foetal Biometry Asinitaji Nitakuja Kuzichukua Baadae Maana Nilikuw Na Wasiwasi Kutoka Na Tabia Zake, Alipoondoka Kusin Naangalia Vipimo Kila Nikipiga Umri Kwa Parameters Zote Za US Picha Zaid Ya Tatu Umri Unakuja 6-7 Weeks Wakat Mim Najua 4 Weeks Since Tumekutana, Nikafikiria Ila Nikasema Poa, Kwa Sababu Niliamin 1-2 Weeks Error Kweny US Ni Kawaida So Nikajipa Moyo Sikumwambia, After Almost 10 Weeks Akiwa Dar Akasema Kapata Abortion Mim Nikamtumia Mtonyo Kama 100k Kwa Ajil Ya Evacuation. Ila Still Akawa Analalamika Damu Zinatoka Mwez Mzima So Nikamwambia Aje Ili Nimsafishe Mwenyew Tena Na Nimuangalie Kwel Akaja Nikiamsafisha Na Akawa Saw Ila Jion Kabla Hajaondoka Machale Yakacheza Maana Alikuw Anaongea Na Mtu Anasema "G Usifikirie Hivyo Tutaongea Vizur" Mi Nikamuuliza Hiyo Nan Akasema Ni Shemej Yake Kwa Dada Ake Nikamwambia Mpigie Weka Loudspeaker, Akapiga Jamaa Akawa Anaongea Kwa Kulalama Kwanini Ametoka Hajamuaga, Mi Nikamuuliza Tena Nana Hiyo Akasema Ni Rafiki Yake Mi Nikampigia Jamaa Nikaongea Nae Akasema Ni Mtu Na Ana Mimba Yake, Jaman Jaman Nilitoa Kilio Kama Mtu Kapata Taarifa Za Kifo Cha Mama Ake, Maana Niliumia Sana Sikuamin Kama Naweza Pigwa Tukio Tena Na Binti, Sikumdhuru Asubub Nikamkatia Gari Akarud Dar Nikampotezea Ila After 2 Month Tukarudiana Tena.

Tukio La 3 FUNGA KAZI

Mwez December Niliona Ngoja Nipande Nyumban Nikaungane Na Familia Na Yeye Dar, So Nikampigia Nakuja Akajibu Short Poa, Nikafikia Kwao Hakukuwa Na Mtu Nikamla Baadae Alipolala Nikachukua Simu Yake Na Kukuta Tena Za Jamaa Nasty Sana Aisee, Jamaa Namjua Nilishawahi Kumsikia Ni Jiran Yao Na Dada Ake Ni Rafik Wa Huyo Mtu Wangu, Text Kama " UNA BAO JINGI" , " MBONA UNACHELEWA, NAUMIAGA" , " KWANINI ULIAMUA KUNIFANYA VILE" Aisee Niliumia Sana Nikahis Jamaa Inawezekana Anamla Na Jicho Huyo Mtu Wangu So Kulipokucha Nikambana Akanikubalia Na Kuinomba Sanmahan Mi Nikamjibu Nimmsamehe Ili Moyon Nilishakuwa Na Kukata Tamaa Nae Kuwa Huyu Hawez Kubadilika Na Hiki Ni Tabia Yake, So Tukaachana Huyo Siku Asubuh, Jion Akaja Home Kwa Mama Tukaongea Then Nikamsindikiza Ila Njian Akaniambia Hatuwez Kulala Kwao Kisa Ndugu Zake Wanarud Maana Walisafir Mi Nikakubal Ila Wakat Narud Home Machale Yakanicheza Nikahis Jamaa Leo Anaenda Kupiga Ndio Maana Nimpigwa Stop So Nikachukua Boda Nikaenda Mitaa Ya Karibu Na Kwao Nikavuta Kama 3 Hours Mpaka Saa 5 Nikanyata Dirishana Kwake Nikasikia Anaongea Na Mwanaume Saut Ya Chini, Nikavumilia Nikashindwa Mi Nikagonga Mlango Akafungua Na Jamaa Yupo Pemben Anaomba Msamaha Anatetemeka Mi Nikamwambia Kuwa Nina Shida Ya Wew Huku Natetemeka Ila Nikasema Ngoja Nimalize Huku Nalia Kwa Uchungu Nikamwambia Jamaa Kuwa Nina 10 Years Na Huyo Dada Na Nimeyapitia Mengi Awe Makin, Then Nikamuuliza Binti Kati Yangu Mim Na Jamaa Hapa Nina X Unanpenda Akasema Anampenda Jamaa Dah! Miguu Nikahis ainataka Kuanguka Nikamwambia Dawa Nimekuelewa Ila Naomba Simu Yangu Niondoke Akaleta Ubishi, Hapo Nikakasirika Nikamkamata Na Jamaa Akakimbia Nikamla Makofi Na Ngumi Kadhaa Nikachukua Simu Nikamwambia Sikutak Tena Na Tusi Fulani LA Mama Ake Wallah Nilikuwa Kama Chiz Nikachukua Boda Kutoka Kwao Aisee Mpaka Home Kama 20k Hivi Maana Daladala Niliona Niatchelewa Nikaenda Home Kwa Mama Nikamuelekeza Huku Nalia Yaliyotokea Mama Akasema Basis Mwanangu Achana Nae Sio Bahat Yako, Nikatoka Naenda Kuoga Namuona Nae Kaja Nyumban Usiku Ule Ule Alivyoniona Akakimbilia Kwa Mama Analia Sana Nimsamehe Mi Nikataka Nimtimue Mama Akanijia Juu Hapo Kwake So Siwez Kumfanyia Hivyo, As Final Akaniita Akaniambia Maneno Mengi Ya Kunipa Ushaur Nimsameh, Basi Nikakubal Kumridhisha Tukalala, Asubuh Nikamla Then Nikapanda Gar Kurud Kusin Since Hapo Sijaongea Nae Tena Ila Huwa Ananitafuta Na Sipokei Simu, Jana Akanitumia WhatsApp Uchi Wake Aisee, Nikakumbuka Ving Sana Kwake, Sijamjibu Na Nimemtia Block Ila Najihis Kuna Kitu Kinanizuia Kutoka Kwake.

Naamin Kuna Watu Wamepitia Kama Niliyopitia Na Wakafanikisha Kujitoa Kweny Hii Hali, Yaani Naumia Sana Sina Hisia Nae Ila Mazoea Na Vitu Tulivyowahi Kufanya Na Kupitia Bado Viko Kichwan Naweza Futa Haya Mawazo Jaman.?

Asanten Sana

Sema nini bro shtuka bro
 
moyo upumbavu,demu kasha jua jamaa domo zege hawezi pata mtu mwingine yaani anakazwa nje na unafahamu na yeye anathibitisha alafu unasamehe hahahahaha hii inafurahisha.

unaenda unalia kwa maza, badae unabembelezwa unakubali aiseeh kuna tatizo mahari (vile ujawah kuwa na michepuko ndo maana unaendeshwa)

tafuta videmu vyako vi 2-3 huyo unamsahau kesho tu

Oyaaaaah kesho mbali mbn nampa masaa aidha moj au mawil
 
Matukio yote hayo bado unang’aninia mtu kama huyo kwanza kashazeeka, kuna vidada vimezaliwa 2000 vibichi na vinaweza kukupa respect km yote
 
Nikajua Limbwata ni kwenye Ndoa tu kumbe hata Wapenzi pia unaweza kufanywa ndondochaaa wewe sio limbwata ila ushakuwa ndondocha kabisaaa... Sina cha kukushauri ambacho kinaweza kukufanya umuache huyo mwanamke maana aliyokufanyia toka ile umejua ametoa mimba ambayo sio yako ilibidi uwe ushamuacha kitambo sana lakini ntakupa sababu kwa nini humuachi.


Huyo demu ni mzuri sana inawezekana unaona kabisa sio standard yako so wewe ndo unajiforce kwake.

Wewe muoga sana kutongoza yanii domo zegee hasaaa mzee ndio maana unaona ukimuacha huwezi pata demu mwingine ambae atakuwa anakupa Mbunye muda unaotaka kama huyoo. Kimsingi hata kama una michepuko lazima inakubania.

Wewe binafsi una mapungufu maana hela inaonekana unayo ilaa Nguvu za kiume inaonekana ni changamoto mzee..

Katika hayo matatu kuna jibu sahihi kama huyo demu hajakuwekea LIMBWATA.

Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
 
Bravo. Man down. I repeat man down... We are surrounded and we are taking heavy enemy fire. We need air support. Bravo do you copy?
Copy that loud and clear! hold your breath son,maintain rule # five never trust a woman,once a liar alywayz a liar. Bravo Charlie air support Negative, I repeat Negative,prepare to defend yourself.
 
Spin Doctors and Game Changers At Work.

Taratibu za kujikinga na UVIKO19 ni zile zile hazijabadilika.
 
Habari Zenu Wakuu;

Nipo Katikati Hali Fulani Ngumu Sana, Nimeliweka Hili Ila Sasa Nimeshindwa, Nahitaji Msaada, Tena Mkubwa Sana, Maelezo Yangu Ni Marefu Ila Naomba Soma Na Nishauri.

Nipo Kwenye Mahusiano Ya Huyu Binti For 10 Years Since 2011 Tulikutana Shule O Level Mjin Morogoro Akiwa Form 1 Mim Form 3, Kwao Dar Mim Moro, Mi Nikamaliza Shule Pale Nikaingia A Level Ila Yeye Bahat Mbaya Alivyomaliza Alifel Wakat Mim Ndio Naingia College Moja Ya Afya Huku Kusini.

MWANZO WA TATIZO

Kutokana Na Matokeo Yake Alijiunga Na College Akisomea Secretary Dar, Hapo Ndio Kimbembe Kilipoanza Mawasiliano Yakapungua Sana So Nikawa Nikipata Nafas Nakuja Dar Kushitua Kidogo Na Kumuona.

Mara Ya Kwanza Nakuja Dar Nakuta Kitu Hakina Uhalisia Aisee Yaan Hakibani Kabisa Sisi Wa Afya Tunasema Parous Hymen, Wakat Hajwahi Kuzaa So Nikahis Kuna Wahun Wanachakata Kiwanda Hiki, Nilivyomuweka Doggy Damu Zikaanza Kutoka Ni Clots Nikamuuliza Vip Akasema Fresh Na Hana Hata Habari Ila Mim Nikampima Na Mkono PV Exam Nikakuta Njia Iko Open Nikajua Hii Ni Incomplete Nikamafisha Pale Pale Guest Nikakimbia Mawasiliano Pharmacy Nikanunua Oxytocin Na Pedi Nikamvalisha Na Kumchoma Then Nikamsindikiza Kwao Nikarud Guest Nikamalizia Na Nyeto Asubuh Nikasepa Kusini Bila Kumsema Wala Kumuonyesha Kuwa Nina Hasira Nae Na Una Jambo Nimegundua, Nilipofika Chuo Nikaongea Nae Akaniambia Ukwel Baada Ya Kumbana Kuwa Aliliwa Na Dr Aliyekuw Anamuhudumia Mama Akiwa Anaumwa Kitandani So Nikamuelewa Nikamsamehe.

Mara Ya Pili

Nikaja Tena Dar Safar Nyingine Nimemnunulia Na Simu, Kabla Sijamla Machale Yakanicheza, Na Hiki Kitu Nawasisitiza Sana Wakuu Ukiona Kuna Kitu Unahis Juu Ya Mpenz Wako Fuatilia Ujiridhishe Ving Ni Kweli, So Nikachukua Simu Yake Kuangalia Nakuta Message Za Mhuni Anasema " Mbona Napiga Simu Hupokei Ole Wako Uwe Umeniambukiza Ukimwi, Malaya Wewe" Nikapaniki Ila Nina Nyege So Nikamuuliza Then Nikamchapa Fasta Kesi Ikaendelea Baada Ya Kunieleza Nikamkaushia Kam Wiki 2 Then Nikaona Fresh Acha Na Hili Lipite Tukarudiana Tena Akiniahid Atabadilika.

Mara Ya 3

Kuna Kipind Recent Alikuja Kusini Akitokea Dar So Nikamla Then Akarud Dar, After 4 Weeks Akaniambia Ana Mimba YANGU Mim Sikukataa Co Nilisahapa Sitakuja Kukataa Mimba, Mtoto Nalea Kama Mama Ake Alichepuka Atajua Mwenyew Mim Pia Nimelelewa Na Baba Sio Wangu Na Alinijal Kama Mwanae Wa Damu So Nina Hiyo Spirit. Nikamwambia Aje Kusini Tufungue Kadi Maana Kuna Mahali Nipo Najishikiza So Akaja Nikampeleka Hospital Moja Jamaa Ananifahamu Akampima Ila Nikamuomba Picha Na Foetal Biometry Asinitaji Nitakuja Kuzichukua Baadae Maana Nilikuw Na Wasiwasi Kutoka Na Tabia Zake, Alipoondoka Kusin Naangalia Vipimo Kila Nikipiga Umri Kwa Parameters Zote Za US Picha Zaid Ya Tatu Umri Unakuja 6-7 Weeks Wakat Mim Najua 4 Weeks Since Tumekutana, Nikafikiria Ila Nikasema Poa, Kwa Sababu Niliamin 1-2 Weeks Error Kweny US Ni Kawaida So Nikajipa Moyo Sikumwambia, After Almost 10 Weeks Akiwa Dar Akasema Kapata Abortion Mim Nikamtumia Mtonyo Kama 100k Kwa Ajil Ya Evacuation. Ila Still Akawa Analalamika Damu Zinatoka Mwez Mzima So Nikamwambia Aje Ili Nimsafishe Mwenyew Tena Na Nimuangalie Kwel Akaja Nikiamsafisha Na Akawa Saw Ila Jion Kabla Hajaondoka Machale Yakacheza Maana Alikuw Anaongea Na Mtu Anasema "G Usifikirie Hivyo Tutaongea Vizur" Mi Nikamuuliza Hiyo Nan Akasema Ni Shemej Yake Kwa Dada Ake Nikamwambia Mpigie Weka Loudspeaker, Akapiga Jamaa Akawa Anaongea Kwa Kulalama Kwanini Ametoka Hajamuaga, Mi Nikamuuliza Tena Nana Hiyo Akasema Ni Rafiki Yake Mi Nikampigia Jamaa Nikaongea Nae Akasema Ni Mtu Na Ana Mimba Yake, Jaman Jaman Nilitoa Kilio Kama Mtu Kapata Taarifa Za Kifo Cha Mama Ake, Maana Niliumia Sana Sikuamin Kama Naweza Pigwa Tukio Tena Na Binti, Sikumdhuru Asubub Nikamkatia Gari Akarud Dar Nikampotezea Ila After 2 Month Tukarudiana Tena.

Tukio La 3 FUNGA KAZI

Mwez December Niliona Ngoja Nipande Nyumban Nikaungane Na Familia Na Yeye Dar, So Nikampigia Nakuja Akajibu Short Poa, Nikafikia Kwao Hakukuwa Na Mtu Nikamla Baadae Alipolala Nikachukua Simu Yake Na Kukuta Tena Za Jamaa Nasty Sana Aisee, Jamaa Namjua Nilishawahi Kumsikia Ni Jiran Yao Na Dada Ake Ni Rafik Wa Huyo Mtu Wangu, Text Kama " UNA BAO JINGI" , " MBONA UNACHELEWA, NAUMIAGA" , " KWANINI ULIAMUA KUNIFANYA VILE" Aisee Niliumia Sana Nikahis Jamaa Inawezekana Anamla Na Jicho Huyo Mtu Wangu So Kulipokucha Nikambana Akanikubalia Na Kuinomba Sanmahan Mi Nikamjibu Nimmsamehe Ili Moyon Nilishakuwa Na Kukata Tamaa Nae Kuwa Huyu Hawez Kubadilika Na Hiki Ni Tabia Yake, So Tukaachana Huyo Siku Asubuh, Jion Akaja Home Kwa Mama Tukaongea Then Nikamsindikiza Ila Njian Akaniambia Hatuwez Kulala Kwao Kisa Ndugu Zake Wanarud Maana Walisafir Mi Nikakubal Ila Wakat Narud Home Machale Yakanicheza Nikahis Jamaa Leo Anaenda Kupiga Ndio Maana Nimpigwa Stop So Nikachukua Boda Nikaenda Mitaa Ya Karibu Na Kwao Nikavuta Kama 3 Hours Mpaka Saa 5 Nikanyata Dirishana Kwake Nikasikia Anaongea Na Mwanaume Saut Ya Chini, Nikavumilia Nikashindwa Mi Nikagonga Mlango Akafungua Na Jamaa Yupo Pemben Anaomba Msamaha Anatetemeka Mi Nikamwambia Kuwa Nina Shida Ya Wew Huku Natetemeka Ila Nikasema Ngoja Nimalize Huku Nalia Kwa Uchungu Nikamwambia Jamaa Kuwa Nina 10 Years Na Huyo Dada Na Nimeyapitia Mengi Awe Makin, Then Nikamuuliza Binti Kati Yangu Mim Na Jamaa Hapa Nina X Unanpenda Akasema Anampenda Jamaa Dah! Miguu Nikahis ainataka Kuanguka Nikamwambia Dawa Nimekuelewa Ila Naomba Simu Yangu Niondoke Akaleta Ubishi, Hapo Nikakasirika Nikamkamata Na Jamaa Akakimbia Nikamla Makofi Na Ngumi Kadhaa Nikachukua Simu Nikamwambia Sikutak Tena Na Tusi Fulani LA Mama Ake Wallah Nilikuwa Kama Chiz Nikachukua Boda Kutoka Kwao Aisee Mpaka Home Kama 20k Hivi Maana Daladala Niliona Niatchelewa Nikaenda Home Kwa Mama Nikamuelekeza Huku Nalia Yaliyotokea Mama Akasema Basis Mwanangu Achana Nae Sio Bahat Yako, Nikatoka Naenda Kuoga Namuona Nae Kaja Nyumban Usiku Ule Ule Alivyoniona Akakimbilia Kwa Mama Analia Sana Nimsamehe Mi Nikataka Nimtimue Mama Akanijia Juu Hapo Kwake So Siwez Kumfanyia Hivyo, As Final Akaniita Akaniambia Maneno Mengi Ya Kunipa Ushaur Nimsameh, Basi Nikakubal Kumridhisha Tukalala, Asubuh Nikamla Then Nikapanda Gar Kurud Kusin Since Hapo Sijaongea Nae Tena Ila Huwa Ananitafuta Na Sipokei Simu, Jana Akanitumia WhatsApp Uchi Wake Aisee, Nikakumbuka Ving Sana Kwake, Sijamjibu Na Nimemtia Block Ila Najihis Kuna Kitu Kinanizuia Kutoka Kwake.

Naamin Kuna Watu Wamepitia Kama Niliyopitia Na Wakafanikisha Kujitoa Kweny Hii Hali, Yaani Naumia Sana Sina Hisia Nae Ila Mazoea Na Vitu Tulivyowahi Kufanya Na Kupitia Bado Viko Kichwan Naweza Futa Haya Mawazo Jaman.?

Asanten Sana
Dah...imenisikitisha sana! Mimi nimepitia mengi na magumu sana kwenye mahusiano kwa kumpenda binti mmoja kwa muda mrefu sana na kumuamini sana...amenipiga matukio mengi sana na nilikuwa namsamehe mara nyingi sana...ila nakiri wazi sijakufikia wewe aiseee!! Una moyo wa ajabu sana...

Ila usijali, hapo ni kama upo kwenye kifungo fulani tu kwa muda, utakuwa huru baada ya muda, na moyo wako utaelekea kwingine! Jipe tu muda, hizo hisia zitakuisha! Mimi pia sasa hivi zimeniisha na nimehamishia moyo sehemu salama kabisa kwa sasa hivi! Hapo unatakiwa uruhusu macho yako yaanze kuona furaha zingine tofauti na mapenzi....macho yataurubuni moyo....na utafanikiwa
 
Anza kupiga mechi za 'ndondo' then utaona hakuna jipya kwake.
Achana na huyo Malaya.
 
Watu wa sekta ya afya,hawaogopagi ngoma kabisa.

Anafanya yote hayo kwa vile uko mbal nae,mchukue uishi nae hata Fanya hayo anayoyafanya
 
Back
Top Bottom