Msaada: Huu ni ugonjwa gani?

Joined
Jul 13, 2019
Posts
20
Reaction score
4
As salaam aleikum wanajukwaa

Mdogo wangu anasumbuliwa na vipele leo ni siku ya tatu usiku wa kuamkia leo hajalala hivo kutazama vimekuwa vikubwa kiasi tumejaribu kumkamua wametoka wadudu kila kipele kimoja kimetoa mdudu mmoja hili linaweza kuwa tatizo gani?

Wadudu waliotoka ni mfano wa funza kama wanavyonekana pichani.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…