Msaada: Hivi ni vidonge gani?

mmmmhhhhhh!!!!!
 
Ohooooo!!!
 
Umenifanya niingie Google.. Wanioneshe ARV. Hizo ndizo picha nilizokutana nazo
 
Vya HIV ndo vp apo
Huku JF unaweza kupata majibu mengi lakini hutapata jibu la uhakika. Ushauri wangu ni kwamba angalia jina lililoandikwa juu ya dawa kisha google kuuliza dawa hizo ni maalumu kwa kutibu ugonjwa gani? Huko utapata majibu sahihi ! Jibu lolote lisikufanya upoteze utulivu wako! Always use akili in the best way!
 
Ivo vidonge hutumika kutibu Homa ya Ini bhana..
Wasikutishe bhana..
 
Hilo dude ulilibeba mwezi ulipoandama nini? Ndio madhara ya kukamia na kuuza match hayo,majanga hayo madonge nu Yale wanagawa bure naamini umeelewa madonge gani wanagawa bure
 
Kwanza Suala linalo husiana na vidonge jibu lipo kwa madoctor. Nenda kwa doctor yeyote mweleze maana tutakuchanganya kaka.
 
First of all... Don't panic Mr........ Viangalie Vizuriiiii.... Zen Kama ukikuta ni vya Aina mbil tofauti ila vyafanana Mwonekano wa maumbo yaweza Kuwa vyenyew vya HIV positive.... Hapo pia ucpanik..... Mana kutembea na mtu Mwenye HIV c Kuwa naww ndo Umepata. My take Nenda angaza pata ushauri zen pima huwez Jua Mungu anataka akuepushe Vp.... Cha msingi don't panic
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…