MSAADA: Hilda Phoya wa Azam TV ameolewa?

MSAADA: Hilda Phoya wa Azam TV ameolewa?

Nitamchukua tu mkuu kua mpole
Kua na uhakika nitamchukua kutoka kwako
Haya halima shebuge huyo wa azam kijana
FB_IMG_16737943381367178.jpg
FB_IMG_16737943228923822.jpg
 
Wasalaam wakuu,

Niko katika harakati za kutafuta mtu wa kuishi naye maisha yote nitakayoishi kwenye hii sayari. Kuna huyu dada anatanganza Morning Trumpet wa Azam TV, ana sura nzuri, rangi safi na zaidi umbo lake linanimaliza. Naulizia kaolewa, na kama bado nampataje?

Popote ulipo Hilda Phoya nakupenda na lazima nikutane na wewe, haijalishi umeolewa au haujaolewa!

Haki ya nani huyu binti ananifanya niwaze kuota na kufikiria ni wapi nampata!View attachment 2397061
View attachment 2397062



Hilda Phoya , kama umo humu tambua nitakutafuta.
Umeandika "uwe umeolewa au haujalewa". Ukaongeza kuwa "we kenge nani kakuambia hayuko kwa Mungu".

Sasa jiulize why ujiapize kukutana na Hilda awe ameolewa au hajaolewa? Wewe uko na Mungu mwingine si huyu anayeabudiwa
 



Hatuwezi kukupa dada yetu Una tabia za kununua Malaya

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Hahaaa! Umemgugo
 
Back
Top Bottom