Msaada hichi ni nini? Pumbu linawasha

Pumbu jero
-chanzo
1)kuogea maji ya chumvi
2)kuacha majimaji wakati wa kujikausha pindi unapotoka kuoga.
3)kuvaa nguo nyingi za ndani na kusababisha joto

-tiba
1)paka mafuta ya kulainisha ngozi(wakati wa kulala) Pia acha pumbu zipigwe na upepo.
2)muone daktari Kama haitosaidia.
 
Hizo ni pumba kwenye pumb.....u. Ukijikuna sana utachubuka na ukichubula utakoma hayo.maumivu yake
 
Hayer asantee
 
Ukishaoga safisha vizur kausha then paka whitefield asubuh na jion ...
Zipe nafas ya kupumua usizibane saaana au vaa boxer zile kubwa au kibukta usivae chupi...
Baada ya hapo uwe na utaratibu wa kupaka powder ukitaka kwnda kwny mishemishe zako ili kuabsorb lile jasho lisiweke uvundo na kuruhu fangas kuota
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…