Pumbu jero
-chanzo
1)kuogea maji ya chumvi
2)kuacha majimaji wakati wa kujikausha pindi unapotoka kuoga.
3)kuvaa nguo nyingi za ndani na kusababisha joto
-tiba
1)paka mafuta ya kulainisha ngozi(wakati wa kulala) Pia acha pumbu zipigwe na upepo.
2)muone daktari Kama haitosaidia.