The lost
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 2,695
- 8,209
we umejuaje anadanganya. Kozi yoyote anasoma kwa ngazi ya diploma kama alifaulu vizuri o level, na pia kama alisoma masomo tisa o levelAcha kumdanganya bwana mdogo
we umejuaje anadanganya. Kozi yoyote anasoma kwa ngazi ya diploma kama alifaulu vizuri o level, na pia kama alisoma masomo tisa o levelAcha kumdanganya bwana mdogo
we umejuaje anadanganya. Kozi yoyote anasoma kwa ngazi ya diploma kama alifaulu vizuri o level, na pia kama alisoma masomo tisa o levelAcha kumdanganya bwana mdogo
Umejibu nini, sijakuelewawe umejuaje anadanganya. Kozi yoyote anasoma kwa ngazi ya diploma kama alifaulu vizuri o level, na pia kama alisoma masomo tisa o level
kumbe hata engineering anaenda!!duuuh, BRAVO arts woooteDogo soma combination yeyote unayohisi unaimudu. Kumbuka kuna kuzungusha kama utataka kusoma comb kwa kutaka sifa.
Chuo unaingia course yeyote except za Afya tu.