Msaada: Hela ya unga, nakufa njaa

Msaada: Hela ya unga, nakufa njaa

kitoko

Member
Joined
Oct 19, 2017
Posts
51
Reaction score
54
Wapendwa salaam alyk, tumsifu Yesu Kristo wana JF,

Kuanzia jana siko vizuri nimehangaika nimekosa nimetafuta bado sijapata wapendwa ninashida ya kusaidiwa hela ya unga tuu.

Please nisaidieni wana JF mwenzenu nakufa njaa.
 
Wapendwa salaam alyk, tumsifu Yesu Kristo wana JF,

Kuanzia jana siko vizuri nimehangaika nimekosa nimetafuta bado sijapata wapendwa ninashida ya kusaidiwa hela ya unga tuu.

Please nisaidieni wana JF mwenzenu nakufa njaa.
Umekosa hela ya unga lakini umepata ya bando na kuingia jf kuomba msaada? Mh kila la heri mkuu.
 
Nina maswali hapa mkuu
1. Upo wapi?
2. Je hapo ulipo hauna ndugu/majirani?
3. Huo unga utaulamba then ukunywe na maji?
4. Huo unga tukisha ununua, tunakutumiaje?
5. Kwanini usinge nunua unga na ukanunua MB?
6. Unahitaji unga kiasigani?
7. Kwanini usiuze sim ili usikufe na njaa?
 
Mkuu hiyo ela tunakutumiaje mkuu.
Watu wana maswali mengi ila kwa watu tuliokwisha pitia kipindi kigumu tunaelewa haya mambo.
Unaweza kuamka siku mbili huna A wala B hakuna cha ndugu wala jirani wa kukusaidia.
Weka jinsi ya kukusaidia kama unaongopa utahukumiwa na Mungu wako
 
Hahahah ni sahihi kabisa alichokifanya kununua bundle ili aombee unga, mtamuona kama Abunuasi lakini ana akili, unga angekula mara moja au mbili na biashara ikaishia hapo LAKINI bundle itamsaidia kupata unga au mawazo ya muda mrefu zaidi. Ametuzidi kwa hili. Wengi mmekua narrow minded
 
Mapema sanaaa kuwaza umekosa, fight at least ifike saa nane hivi ramani zisipo soma ndo uombe, ila pole sanaa
 
Back
Top Bottom