MT255
JF-Expert Member
- May 3, 2012
- 3,381
- 4,648
Wana body natanguliza shukran,
Nina google pixel 3a xl Jana kuna mtu ametoka nayo msumbiji ilivyokuja nimeweka line ya airtel imesoma fresh nikaweka hela na nikajiunga kifurushi na data nikawasha sasa nikaanza Ku download app mbalimbali leo naamka asubuhi nakuta imeunga airtel lakini inaandika emergency call only nimeshafanya kila ninachoweza ikiwemo kubadir line mbalimbali nione kama itaunga nimerestore zaidi ya Mara 10 hola.
imekataa inaandika tu sim 1 not allowed
Msaada mwenye kujua au mtu aliyekwishakutana na tatizo hili msaada
Natanguliza shukran
Nina google pixel 3a xl Jana kuna mtu ametoka nayo msumbiji ilivyokuja nimeweka line ya airtel imesoma fresh nikaweka hela na nikajiunga kifurushi na data nikawasha sasa nikaanza Ku download app mbalimbali leo naamka asubuhi nakuta imeunga airtel lakini inaandika emergency call only nimeshafanya kila ninachoweza ikiwemo kubadir line mbalimbali nione kama itaunga nimerestore zaidi ya Mara 10 hola.
imekataa inaandika tu sim 1 not allowed
Msaada mwenye kujua au mtu aliyekwishakutana na tatizo hili msaada
Natanguliza shukran