Pole sana kwa kuuguliwa,inabidi ujiandae kisaikolojia maana bugando ni zaidi ya unavyoijua,siku hizi yamebaki majengo ubabaishaji mwingi,vipimo vingi havipatikani bugando mpaka hospitali binafsi,Kama unadaktari labda ungesema mgonjwa anasumbuliwa na tatizo gani ili uweze kupata msaada zaidi maana Bugando ni jipu linahitaji kutumbuliwa