Msaada DStv: Kifurushi cha elfu 78 naona EPL?

Msaada DStv: Kifurushi cha elfu 78 naona EPL?

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,693
Reaction score
21,765
Naomba msaada,je kifurushi cha dstv cha shilingi elfu 78 naweza kuangalia epl mechi zote?.
Natanguliza shukran
 
Naomba msaada,je kifurushi cha dstv cha shilingi elfu 78 naweza kuangalia epl mechi zote?.
Natanguliza shukran
134,000 compact plus hapo utacheki epl kwenye ss3 na badhi ya game kwenye ss7 huku ss select wakikupa game mara moja moja wikiend.
199,000 hapo ndo full karibu game zote utaona.
78,000 compact aah hicho game hamna labda uwe unavizia jumamosi kwenye ss select wakupe ka game kamoja kabaya ambako hata upendi ila utalazimika kutoa macho ili mladi tu uone.
 
yaani 78000 bado huoni mpira bora uje azam TV upate hata ligi ya bongo kwa bei ya kutupa
 
Cable ndio rahaa unalipa 20000 per month na kujiunga laki mbili na nusu huku arusha then unacheki game zote muhimu za ulaya hasa ligue one, EPL, laliga, serie A,
 
baa zitapata wateja sana kuanzia weekend ijayo!!! laki 2 kwa kweli parefu azam, star etc zinaonyesha series za mama na watoto nyumban ma baba tulikua tunalipa dstv kwa ajili ya mpira tu ila kwa sasa ni bye bye tutaenda baa!!!
 
mkuu hiyo hautapata;: jipange ulipie premium package
 
Naomba msaada,je kifurushi cha dstv cha shilingi elfu 78 naweza kuangalia epl mechi zote?.
Natanguliza shukran

Imekula kwako!
Teheheheee!!!! Nicheke mie. Ndio kukua kwa uchumi kunakohubiriwa na kenge wa kijani!
 
134,000 compact plus hapo utacheki epl kwenye ss3 na badhi ya game kwenye ss7 huku ss select wakikupa game mara moja moja wikiend.
199,000 hapo ndo full karibu game zote utaona.
78,000 compact aah hicho game hamna labda uwe unavizia jumamosi kwenye ss select wakupe ka game kamoja kabaya ambako hata upendi ila utalazimika kutoa macho ili mladi tu uone.

Msimu huu epl inaonyesha kwenye ss5 ambayo inapatikana kwenye kifurushi cha premium chenye gharama ya 199,000/=, la liga ndo inaonyesha na ss3 ilitokana kwenye kifurushi cha Compact Plus kwa gharama ya 134,000/=. Msimu uliopita ss3 ilikuwa inaonyesha epl na ss5 ilikuwa inaonyesha la liga, msimu huu naona wanabadilisha!
 
Back
Top Bottom