Waungwana nipo kwenye dozi, natumia PEP baada ya kuwa exposed na mazingira hatarishi ya maambukizi.
Kawaida nakunywa vidonge hivi mida ya saa nne usiku na leo nina siku ya 8 tangu nizianze.
Jana usiku nilisahau kumeza baada ya kupitiwa na usingizi na nilishtuka alfajiri ya saa 11 asubuhi na kukumbuka nilisahau kumeza hivyo nikazimeza.
Sasa hapa naombeni msaada wenu, Je nitakiwa nimebadili utaratibu wa dozi au vipi? Na je kama ningeacha hili nije niendelee tena leo saa nne usiku (Yaani ningeruka siku moja) ningekuwa nimeharibu utaratibu wa dozi?
Msaada kwa wataalamu wa haya masuala jamani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kawaida nakunywa vidonge hivi mida ya saa nne usiku na leo nina siku ya 8 tangu nizianze.
Jana usiku nilisahau kumeza baada ya kupitiwa na usingizi na nilishtuka alfajiri ya saa 11 asubuhi na kukumbuka nilisahau kumeza hivyo nikazimeza.
Sasa hapa naombeni msaada wenu, Je nitakiwa nimebadili utaratibu wa dozi au vipi? Na je kama ningeacha hili nije niendelee tena leo saa nne usiku (Yaani ningeruka siku moja) ningekuwa nimeharibu utaratibu wa dozi?
Msaada kwa wataalamu wa haya masuala jamani.
Sent using Jamii Forums mobile app