manento93 Member Joined Jul 19, 2018 Posts 54 Reaction score 33 Dec 22, 2018 #1 Wakuu habari za majukumu. Kama kichwa kinavyoeleza, ninaomba kupatiwa ufafanuzi wowte kuhusu masomo ya Diplomat Vyuo vinavtotoa kozi hiyo, na sifa za anayehitaji kusoma. Naomba mnipe mchango wenu. Asanteni.
Wakuu habari za majukumu. Kama kichwa kinavyoeleza, ninaomba kupatiwa ufafanuzi wowte kuhusu masomo ya Diplomat Vyuo vinavtotoa kozi hiyo, na sifa za anayehitaji kusoma. Naomba mnipe mchango wenu. Asanteni.
pachachiza JF-Expert Member Joined Oct 18, 2012 Posts 1,869 Reaction score 2,764 Dec 22, 2018 #2 Nachokijua ni chuo cha diplomasia kurasini, kawaida diploma unatakiwa uwe umemaliza six au certificate ya diplomasia.
Nachokijua ni chuo cha diplomasia kurasini, kawaida diploma unatakiwa uwe umemaliza six au certificate ya diplomasia.
manento93 Member Joined Jul 19, 2018 Posts 54 Reaction score 33 Dec 22, 2018 Thread starter #3 pachachiza said: Nachokijua ni chuo cha diplomasia kurasini, kawaida diploma unatakiwa uwe umemaliza six au certificate ya diplomasia. Click to expand... Asante Mkuu, je ukiwa na astashahada yoyote vipi?
pachachiza said: Nachokijua ni chuo cha diplomasia kurasini, kawaida diploma unatakiwa uwe umemaliza six au certificate ya diplomasia. Click to expand... Asante Mkuu, je ukiwa na astashahada yoyote vipi?