Habari zenu wapendwa naomba msaada wenu kwa anayejua matumizi ya hii Dawa inatumika kutibu magonjwa gani, PREDNISOLONE
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, ebu jaribu kujitazama kwa matatizo ya figo na kadhalika...Habari zenu wapendwa naomba msaada wenu kwa anayejua matumizi ya hii Dawa inatumika kutibu magonjwa gani, PREDNISOLONE
Sent using Jamii Forums mobile app
Mm nilienda hospital nina kiuvimbe shingon sijui ndo tezi wakanipa hizi DawaPrednisoneline ni steroid inatumika kutibu inflammations. Wagonjwa wa pumu huwa na inflammation kwenye mapafu.
Tatzo langu nina kiuvimbe tu shingoni sina tatzo lingine mbonaMkuu, ebu jaribu kujitazama kwa matatizo ya figo na kadhalika...
Hutibu Aina yoyote ya uvimbe,mzio(ALLERGY),na mgando wa damu
Inategemea maelezo uliyompa daktari, lalianza vipi na kana maumivu gani. Uvimbe ni moja ya dalili za inflammation.Mm nilienda hospital nina kiuvimbe shingon sijui ndo tezi wakanipa hizi Dawa
Sent using Jamii Forums mobile app
AsanteHutibu Aina yoyote ya uvimbe,mzio(ALLERGY),na mgando wa damu
Wamenipa vidonge 42 doz ya siku 14 wameniambia nimeze 1 mara 3 kwa siku. Kwahyo nikimaliza dozi na huu uvimbe utapotea?Umepewa dozi ya siku ngapi? Na je wamekupa maelekezo na mashart ya jinso ya kuzimeza?
Ilikuwa mwaka Jana mwezi wa 3 siku hiyo najishika shingoni nakutana na kiuvimbe kidogo sahizi ya harage ila hakiumi Mara moja moja sana hasa wakati wa usiku ndoninasikia kama shingon Nina maumivu ila siyo makali kivile ya kawaida cha kushangaza toka mwaka Jana mpaka Leo hakijaisha tayari kina mwaka sasa juzi ndonimeenda hospital nikaandikiwa hizi dawaInategemea maelezo uliyompa daktari, lalianza vipi na kana maumivu gani. Uvimbe ni moja ya dalili za inflammation.
Hizo dawa unatumia kwa is wiki mbili tu baada ya hapo kama hukapona muone tena daktari. Ukizitumi bila maelekezo ya daktari zina madhara.Ilikuwa mwaka Jana mwezi wa 3 siku hiyo najishika shingoni nakutana na kiuvimbe kidogo sahizi ya harage ila hakiumi Mara moja moja sana hasa wakati wa usiku ndoninasikia kama shingon Nina maumivu ila siyo makali kivile ya kawaida cha kushangaza toka mwaka Jana mpaka Leo hakijaisha tayari kina mwaka sasa juzi ndonimeenda hospital nikaandikiwa hizi dawa
Sent using Jamii Forums mobile app
KUPOTEA KWA UVIMBE KUNA TEGEMEA NA SABABU YA KUTOKEA KWA UVIMBE HUO MKUU,Ila hizo dawa huwa hazikatizwi kumezwa,LAKINI WEWE MEZA KAMA DAKTARI WAKO ALIVYO KUELEKEZAWamenipa vidonge 42 doz ya siku 14 wameniambia nimeze 1 mara 3 kwa siku. Kwahyo nikimaliza dozi na huu uvimbe utapotea?
Sent using Jamii Forums mobile app
Siwasemi vibaya ila madaktar wengine Ni wavivu kutenda na kufkirilitakiwa hako kauvimbe kapimwe,vimbe za shingoni zinakuaga na utata,wanakupa anti inflamation bila kujua nature ya uvimbe?
Nakumbuka mpaka natokewa na huu uvimbe nilikuwa na msongo Mkubwa wa mawazo sasa sijui kama mawazo yaliweza kuwa sababu mkuuKUPOTEA KWA UVIMBE KUNA TEGEMEA NA SABABU YA KUTOKEA KWA UVIMBE HUO MKUU,Ila hizo dawa huwa hazikatizwi kumezwa,LAKINI WEWE MEZA KAMA DAKTARI WAKO ALIVYO KUELEKEZA
Wengine huandikiwa hivi
1×3kwa siku 7=vdg 21
1×2 kwa siku 7=vdg 14
1×1 kwa siku 7= vdg 7
JUMLA NI VIDONGE 42
Asante my ntafanya hvyoHizo dawa unatumia kwa is wiki mbili tu baada ya hapo kama hukapona muone tena daktari. Ukizitumi bila maelekezo ya daktari zina madhara.
Prednisoneline ni steroid inatumika kutibu inflammations. Wagonjwa wa pumu huwa na inflammation kwenye mapafu.
Hii ndo dose taking style ya Prednisolone.KUPOTEA KWA UVIMBE KUNA TEGEMEA NA SABABU YA KUTOKEA KWA UVIMBE HUO MKUU,Ila hizo dawa huwa hazikatizwi kumezwa,LAKINI WEWE MEZA KAMA DAKTARI WAKO ALIVYO KUELEKEZA
Wengine huandikiwa hivi
1×3kwa siku 7=vdg 21
1×2 kwa siku 7=vdg 14
1×1 kwa siku 7= vdg 7
JUMLA NI VIDONGE 42