Msaada Daktari bingwa wa magonjwa ya kina mama Dar

Msaada Daktari bingwa wa magonjwa ya kina mama Dar

malembeka18

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2018
Posts
3,717
Reaction score
4,295
Habar wakuu wapi ntapata daktari bingwa wa magonjwa ya kina mama kwa Dar iwe private au Serikali

Mke wangu anatatizo tangu wakat wa mimba yamtoto wetu wa tatu,alikua anapata maumivu ya tumbo usawa wa kitovu nakinena pemben na juu kidogo,anapata maumivu makalii mithili yakuhisi kama Kuna kitu ndani kinajikunja, alafu hiyo sehemu kama Kuna vimb panaumuka kama jipu kubwa

Hali hiyo anaweza kaa nayo masaa matatu Kisha akipaka mafuta ya nazi panapotea maumivu yanaisha
Wajuzi nawazoefu inaweza kuwa shida ni nini

Nahitaji kuonana na daktari bingwa wa magonjwa ya kina mama aejua daktari au hospital nokapata msaada iwe private au serikali ,
 
Habar wakuu wapi ntapata daktari bingwa wa magonjwa ya kina mama kwa Dar iwe private au Serikali

Mke wangu anatatizo tangu wakat wa mimba yamtoto wetu wa tatu,alikua anapata maumivu ya tumbo usawa wa kitovu nakinena pemben na juu kidogo,anapata maumivu makalii mithili yakuhisi kama Kuna kitu ndani kinajikunja, alafu hiyo sehemu kama Kuna vimb panaumuka kama jipu kubwa

Hali hiyo anaweza kaa nayo masaa matatu Kisha akipaka mafuta ya nazi panapotea maumivu yanaisha
Wajuzi nawazoefu inaweza kuwa shida ni nini

Nahitaji kuonana na daktari bingwa wa magonjwa ya kina mama aejua daktari au hospital nokapata msaada iwe private au serikali ,

Pole sana.

Kwa sababu upo Dar basi mpeleke hospital ya taifa Muhimbili.

Kila la kheri.
 
Mloganzila kuna genius mmoja anaitwa mwakibete ni bingwa sana
 
Habar wakuu wapi ntapata daktari bingwa wa magonjwa ya kina mama kwa Dar iwe private au Serikali

Mke wangu anatatizo tangu wakat wa mimba yamtoto wetu wa tatu,alikua anapata maumivu ya tumbo usawa wa kitovu nakinena pemben na juu kidogo,anapata maumivu makalii mithili yakuhisi kama Kuna kitu ndani kinajikunja, alafu hiyo sehemu kama Kuna vimb panaumuka kama jipu kubwa

Hali hiyo anaweza kaa nayo masaa matatu Kisha akipaka mafuta ya nazi panapotea maumivu yanaisha
Wajuzi nawazoefu inaweza kuwa shida ni nini

Nahitaji kuonana na daktari bingwa wa magonjwa ya kina mama aejua daktari au hospital nokapata msaada iwe private au serikali ,
Nenda Mlonganzila onana na kichwa kimoja Dr.Isack Rugemalila,ndie Gynecologist mbobevu nilisoma nae degree ya kwanza Makerere University,njoo PM nikupe Namba zake
 
Wako wengi sana kwa maeneo ya Dar tuwasiliane
 
Back
Top Bottom