Wakati huo natafuta kazi; kaka yangu alikuwa anapita anakofahamu yeye, baba angu alikuwa anapita anakofahamu yeye, na mimi mwenyewe nilikuwa napita nilikokuwa nafahamu mimi! Huwezi kum-judge huyo binti simply because ni kakake ndie kaweka tangazo hapa na ku-conclude kwamba mwenyewe kapiga usingizi tu huko akitegemea atafutiwe! Job hunting ni ngumu hususani kwa mtu wa kariba yake, na kwahiyo hakuna ubaya wowote kupata support kutoka kwa ndugu kumsaidia kitu ambacho huenda hata mwenyewe anakifanya!Hawa watoto wa sikuhizi hawajiamini na wanasubiri hisani ya kaka, mjomba, mama, etc ndio wawapiganie katika maisha yao. kama wazazi tunapaswa kuwalea watoto katika misingi ya kujiamini katika utafutaji.
Na haya maisha msidhani kila mtu yupo kama wewe! Umeshamsikia mdau hapo kwamba Binti ameshindwa kumaliza hata certificate kwa kukosa pesa! Tena usikute wala sio certificates zinazohitaji malaki ya pesa! Watu nauli ya kwenda mjini inakuwa issue though siwezi kushangaa watu aina yako wakisema "kwani miguu hana!"