Msaada, Computer yangu inasumbua

Msaada, Computer yangu inasumbua

Joined
May 28, 2018
Posts
7
Reaction score
6
Wakuu naomba msada PC yangu aina ya HP elitebook inastack sana, nikiitumia ndani ya muda mfupi inastack kwa muda then inarudi kawaida baada ya dakika kadhaa inastack tena, kitendo hicho kinaendelea hivohivo.
Nimejaribu kupunguza baadhi ya vitu lakini bado sioni mabadiliko, nimejaribu kuapdate baadhi ya apps lakini bado sijaona mabadiliko yoyoye, nimescan pc nzima lakini bado.
Kwa yeyote mwenye utaalam unaoweza kunisaidia naomba ajitokeze.
Natanguliza shukrani.
 
unatumia window gani kwa pc yako ?
Tumia driver pack solution kufix tatizo lako ila ikishindikana jaribu kuclear cache zote naimani itakuwa sawa .
 
unatumia window gani kwa pc yako ?
Tumia driver pack solution kufix tatizo lako ila ikishindikana jaribu kuclear cache zote naimani itakuwa sawa .
mkuu yangu store haitak ku download nimejaribu ku badili window bt hakuna kitu
msaada tafadhal
 
Daah Restore computer nzima ukimaliza kurestore chukua slim driver tia kwa computer uwashe internet kwa kutumia usb
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom