wanajamvi ninawaomba msaada nimeingiwa na hofu kubwa ya labda kuwa nimetapeliwa na taasisi ya Community loans ama kuna matapeli wanaofanya kazi sambamba na taasisi hiyo.
Nimejaza fomu za kuomba mkopo katika mtandao na kutimiza masharti yote waliyoyataka ili kunipatia mkopo wa shs 500,000.00.
Pamoja na kwamba maelekezo katika fomu yao hayatoshelezi lakini nililipa kiingilio cha mkopo wa laki tano kwa kulipa shs 50,000/= na baadaye kulipa shs 55,000/ kama Vat ya mkopo kama nilivyo elekezwa nao.
Nimelipa kupitia TIGO PESA No 0653 918712(COMMUNITY LOANS) tarehe 18.6.2014 saa10 dk 03
malipo ya 50,000.00
Na siku ya pili Nikawalipa shs 55,000.00 kwenye namba hiyohiyo.
Nikawasiliana na ofisa wao mwenye namba 0756 219 222 ambaye amejitambulisha jina la Careen kama nitakuwa nimetamka sahihi. ( ni mwana mama)
Baada ya kufanya taratibu zotenamba hiyo imegoma kupokea simu zango na ahadi ya kupatiwa mkopo imeishia hapo.
Ninawaomba wanajamvi mnipatie msaada kwa mwenye utambuzi wa taasisi hiyo ili niweze kupata haki yangu.
Nimejaza fomu za kuomba mkopo katika mtandao na kutimiza masharti yote waliyoyataka ili kunipatia mkopo wa shs 500,000.00.
Pamoja na kwamba maelekezo katika fomu yao hayatoshelezi lakini nililipa kiingilio cha mkopo wa laki tano kwa kulipa shs 50,000/= na baadaye kulipa shs 55,000/ kama Vat ya mkopo kama nilivyo elekezwa nao.
Nimelipa kupitia TIGO PESA No 0653 918712(COMMUNITY LOANS) tarehe 18.6.2014 saa10 dk 03
malipo ya 50,000.00
Na siku ya pili Nikawalipa shs 55,000.00 kwenye namba hiyohiyo.
Nikawasiliana na ofisa wao mwenye namba 0756 219 222 ambaye amejitambulisha jina la Careen kama nitakuwa nimetamka sahihi. ( ni mwana mama)
Baada ya kufanya taratibu zotenamba hiyo imegoma kupokea simu zango na ahadi ya kupatiwa mkopo imeishia hapo.
Ninawaomba wanajamvi mnipatie msaada kwa mwenye utambuzi wa taasisi hiyo ili niweze kupata haki yangu.