Msaada: Chuo kipi Dodoma kinatoa kozi za kidiplomasia?

Msaada: Chuo kipi Dodoma kinatoa kozi za kidiplomasia?

A k A

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2016
Posts
226
Reaction score
338
Najua kuna chuo cha kidiplomasia kilichopo Kurasini Dar es Salaam lakini ningependa kujua kama kuna chuo kama hiko(kinachotoa kozi hizo) mkoani hapa.

Natanguliza Shukrani.
 
Kwa ngazi ya diploma labda usome diploma in public adminstration and management ambayo kozi ya Ir utasoma mwaka wa pili wa diploma na baada ya hapo degree ndo ukasome hyo Ir yan international relation and diplomacy yenyewe kama yenyewe ila kwa sasa hakjna Ir kwa diploma
 
Kwa ngazi ya diploma labda usome diploma in public adminstration and management ambayo kozi ya Ir utasoma mwaka wa pili wa diploma na baada ya hapo degree ndo ukasome hyo Ir yan international relation and diplomacy yenyewe kama yenyewe ila kwa sasa hakjna Ir kwa diploma
shukran sana mr nassib kwa muongozo wako
 
Back
Top Bottom