Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,183
- 3,547
Nimeipitia hiyo link ila hakuna maelezo kuwa ni university college ya University ipi, ngoja wajuzi wa mambo waje kueleza zaidi, ila mmmmhhhhKimeanzishwa au kilikuwepo tokea kitambo? Maana nime Google nimekikuta mkuu. Dah, ila ndio nimekijua 2day.. link ya chuo hiyo hapo:
Tanzania Aviation University College
Nimeipitia hiyo link ila hakuna maelezo kuwa ni university college ya University ipi, ngoja wajuzi wa mambo waje kueleza zaidi, ila mmmmhhhh
Jamani....wadau hapa nilipo nasikiliza....wapo radio....f.m....
Kuna jamaa anaelezea kuhusu.....chuo cha urubani...kinaitwa tanzania aviation university college kipo tabata......magengeni....
Wenye taarifa kuhusu ....hichi chuo au mliosoma hiki chuo....tupeni details kuhusu hiki chuo....
Tbt magengeni hii nayo ishi mimi au?
Hapana hakuna kitu kama hcho
Kipo maeneo hayohayo mkuu. Nikikaaga Swiss Pub nawaona baadhi ya wanafunzi wa chuo hikoTbt magengeni hii nayo ishi mimi au?
Hapana hakuna kitu kama hcho
=> Hakuna chuo Tabata cha marubani....huyo Jamaa owner wa chuo ni mhuni tu....HAKIFUNDISHI URUBANI.....namjua sana...alifeli urubani hana hata PPL.....na sasa kaanzisha darasa la kuwafundisha watu mambo ya anga....sio urubani....hana ndege...hana leseni ya urubani...hana simulator....hana elimu ya urubani.....ni tapeli wa kihaya.....
=> So anafundisha mambo ya airlines....general knowledge ya mambo ya anga ... Aviation communication.....so msije tapeliwa...
=> Chuo cha urubani kipo Terminal 1 Dar Airport....na ndio kinapata leseni ya kuwafundisha wanafunzi to commercial pilot level this Nov. 2013.....na owner ni mzungu...Australian. ....kinaitwa Mosswood Aviation
Academy....well equipped school....with Simulator...latest.....3 aircrafts....instructors with tcaa licences with experince....
Utaongea saaanaaaaaaaaaaaaa jamaa anakamua! He took his chances while others were still sleeping
Marketing strategy hii naona umekuja kututangaziaJamani....wadau hapa nilipo nasikiliza....wapo radio....f.m....
Kuna jamaa anaelezea kuhusu.....chuo cha urubani...kinaitwa tanzania aviation university college kipo tabata......magengeni....
Wenye taarifa kuhusu ....hichi chuo au mliosoma hiki chuo....tupeni details kuhusu hiki chuo....
Naijua Tabata-magengeni yote,hakuna kitu kama hicho angalieni msije tapeliwa.