Msaada: Choo cha mtoto kinatoka na Damu

Msaada: Choo cha mtoto kinatoka na Damu

Joined
Mar 11, 2020
Posts
18
Reaction score
11
Nilimpeleka Rabininsia Hospital mwanzo wakasema inaweza kuwa kwenye kutambaa tamba labda amelamba pachafu au kula so anaweza kuwa amepata bacteria nikapewa Antibiotic ndo inaisha leo lakini bado inatoka. Ikabidi nimrudishe leo asubuhi wakampima tumbo liko sawa na sehemu ya haja kubwa kwa nje hajachunika

Leo nikawapelekea choo kikubwa wakasema hakina haja coz kama ana infection dawa niliyokuandikia ingemaliza tatizo

So wakasema labda kesho tumchek Dr wa upasuaji amchunguze yaani nimetetemeka naogopa

Waangalia kama amechunika kwa ndan au vipi

Msaada wenu jamani

Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ili usaidiwe vyema sema damu kiasi gani inaambatana na choo na je choo kina ugumu gani, harufu gani, rangi gani na hali ya mtoto ikoje? Hapa kunawataalamu watakupatia ushauri uweze kupata usingizi
 
db30747c-b235-4667-94de-de2f027edc5f.jpg



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Nilimpeleka rabininsia Hospital mwanzo wakasema inaweza kuwa Kwenye kutambaa tamba labda amelamba pachafu au kula so anaweza kuwa amepata bacteria nikapewa antibiotic ndo inaisha leo lakin bado inatoka
Ikabid nimrudishe leo asubui wakampima tumbo liko sawa na sehem ya haja kubwa kwa Nje hajachunika

leo nikawapelekea choo kikubwa wakasema hakina haja coz kama ana infection dawa niliyokuandikia ingemaliza tatizo

So wakasema labda kesho tumchek dr wa upasuaji amchunguze yan nimetetemeka naogopa

Waangalia kama amechunika kwa ndan au vip....

Msaada wenu jamani


Sent from my iPhone using JamiiForums
Mpige mwino dogo mambo yatakua sawa in sh Allah subiri kabla hajala cocote upashe maji ya vuguvugu umpige nwino iyo ni minyoo na uwe unacunguza ni cakula gani anaco kulaa !

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jaribu kumuona dr. Hameer pale fire/kariakoo. Mara nyingi napataga muujiza wa kimatibabu kwa watoto wangu. Hamna ugonjwa umegoma isha kwa single dose.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom