Mmmh safari ndefu hii....
Fanya hivi...
Panda Arusha - Iringa na KIMOTCO.
Hapo Iringa kula bata na watoto wa MIAMI, HOLIDAY INN na kwengine.
Choma nyama ya mdudu kwenye vibanda vya CCM.
Halafu kesho yake subiri gari za Dodoma - Mbeya (Ngasere, Shabiby, Kimbinyiko) halafu malizia safari..!!!
#YNWA