pole sana mkuu, ila usikate tamaa endelea kuwasiliana nao na uendelee kujaribu mara nyingi na tena kabla ya tarehe 20 kufika. Baada ya tarehe 2 kwa kweli traffic itakuwa kubwa zaidi.
Likewise tcu, kama bado hujamaliza jitahidi umalize mapema, hilo tatizo la hizi websites 3 ( i.e ya tcu, heslb na necta) kuzingua ni kawaida.