Kiukweli nadhani uliitamani hiyo simu mda mrefu bila kujiuliza matumizi na gharama ya kuendesha hiyo simu...
Ni simu ambayo unatakiwa uwe na uwakakika kuwa na pesa isiyopunguani shiling 30,000 Tsh... Otherwise haitakuwa tofauti na simu Nokia ya tochi...
Sijui kama ww unafanya kazi inayokuingia kipato... Ndo maana umehuliza swali lako... Plz uza tu hyo simu au tumia hvyoh hvyo..
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums