Easymutant
R I P
- Jun 3, 2010
- 2,564
- 1,135
Heshima kwenu!
Naomba kuwasilisha ni Dada ambaye anamtafuta baba yake, kwa ufupi mtoto hajawahi kumwona baba yake.
Mtoto anaishi Nairobi na anasema anamtafuta amjue baba yeke,si kwa lengo la kutaka msaada wa kifedha kutoka kwa baba ila anajisikia vibaya kuishi bila kumjua baba.
Anaendesha maisha yake vizuri tu na kwa bahati mbaya mama yake ameshatangulia mbele za haki.
Baba anaitwa Ramadhani Mangile aliwahi kuambiwa anafanya kazi Dar-es-salaam.
Haijajulikana ni kampuni gani alikuwa akifanyia lakini kazi yake ni dereva wa maroli.
*He was a short man and he used to deal with trellas butt he was staying in dar es laam town*
Dada alifanikiwa kutoa box number pekee ya kampuni alikokuwa anafanyia kazi baba yake Box number 67696 Dar-es-salaam.
Baba ni Mtanzania anatokea sehemu inaitwa MALOLO (sijawahi kupasikia na sipajui).
Ninaamini humu ndani atapata msaada wa kumpata baba yake.
(mwenye kuweza kutoa directives za huyu dada kumpata baba yake tafadhali unaweza kushare privately) PM.
Asanteni
Naomba kuwasilisha ni Dada ambaye anamtafuta baba yake, kwa ufupi mtoto hajawahi kumwona baba yake.
Mtoto anaishi Nairobi na anasema anamtafuta amjue baba yeke,si kwa lengo la kutaka msaada wa kifedha kutoka kwa baba ila anajisikia vibaya kuishi bila kumjua baba.
Anaendesha maisha yake vizuri tu na kwa bahati mbaya mama yake ameshatangulia mbele za haki.
Baba anaitwa Ramadhani Mangile aliwahi kuambiwa anafanya kazi Dar-es-salaam.
Haijajulikana ni kampuni gani alikuwa akifanyia lakini kazi yake ni dereva wa maroli.
*He was a short man and he used to deal with trellas butt he was staying in dar es laam town*
Dada alifanikiwa kutoa box number pekee ya kampuni alikokuwa anafanyia kazi baba yake Box number 67696 Dar-es-salaam.
Baba ni Mtanzania anatokea sehemu inaitwa MALOLO (sijawahi kupasikia na sipajui).
Ninaamini humu ndani atapata msaada wa kumpata baba yake.
(mwenye kuweza kutoa directives za huyu dada kumpata baba yake tafadhali unaweza kushare privately) PM.
Asanteni