Mazao unayotaka kuanza nayo ni perishable, hivyo ni vizuri uanze na yale yenye lifespan kubwa kama ndio unaanza.
Ukianza na vitunguu maji ni bora zaidi, kisha tafuta karoti,kisha viazi ( ila msimu huu kwa viazi ni noma, unaweza kulia), nyanya za sasa hivi zina bei nzuri kote, yaani shambani na sokoni, kama unaanza, anza na vitunguu.
Ukipata ndizi mshale au mzuzu ni vizuri, hizi zina maisha marefu, za kuiva acha kwanza,pata kwanza uzoefu.
Ukifanikiwa kupata vitunguu swaumu, ni magoli zaidi.