R ramona Senior Member Joined Apr 3, 2017 Posts 174 Reaction score 264 Jan 5, 2018 #1 Habari zenu waungwana, Naomba kujulishwa bei ya viti vya wagonjwa. Kiti kimoja kinauzwa kwa pesa ngapi za Tanzania kwa anayejuwa naomba anijulishe. Naomba msiuhamishe huu uzi kwani nahitaji msaada wa haraka kwa anayejua bei zake. Ahsanteni
Habari zenu waungwana, Naomba kujulishwa bei ya viti vya wagonjwa. Kiti kimoja kinauzwa kwa pesa ngapi za Tanzania kwa anayejuwa naomba anijulishe. Naomba msiuhamishe huu uzi kwani nahitaji msaada wa haraka kwa anayejua bei zake. Ahsanteni
R ramona Senior Member Joined Apr 3, 2017 Posts 174 Reaction score 264 Jan 5, 2018 Thread starter #3 bilengeh said: Bei ni laki 3 Click to expand... asante mkuu
Mdeke_Pileme JF-Expert Member Joined Aug 24, 2013 Posts 1,599 Reaction score 2,243 Jan 5, 2018 #4 Kama unataka tufanye biashara nicheki hapa iGod@doctor.com
R ramona Senior Member Joined Apr 3, 2017 Posts 174 Reaction score 264 Jan 5, 2018 Thread starter #5 Lukas4 said: Kama unataka tufanye biashara nicheki hapa iGod@doctor.com Click to expand... unavyo hivyo viti? unauza bei gani?
Lukas4 said: Kama unataka tufanye biashara nicheki hapa iGod@doctor.com Click to expand... unavyo hivyo viti? unauza bei gani?