Msaada;bayport $faidika.

Msaada;bayport $faidika.

karatu78

JF-Expert Member
Joined
Feb 22, 2014
Posts
233
Reaction score
42
Habari wanajamvi.naomba msaada ninahitaji mkopo wa utumishi ni kampuni ipi nzuri kati ya baypot na faidika kwa mkopo.
 
Bayport Wanatoza RIBA ASILIMIA 300 Faidika nao walisababisha watumish wa serikal kuacha kaz kwa makato bila kikomo nakushauri uende NMB benki ya kabwela
 
Mkuu usiguse huko kabisa utalia kilio ambacho hujawahi kulia. Nenda tu Bank mkuu. Tena hao Bayport ndiyo hawafai kabisa. Kuna watu wamelia nao sana.
 
Back
Top Bottom