MSAADA: Basi la abiria zuri la Mbeya hadi Mwanza

MSAADA: Basi la abiria zuri la Mbeya hadi Mwanza

HISTAMINE

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2014
Posts
581
Reaction score
1,389
Habari wakuu, naomba kujua ni gari gani zuri (kwa maana ya kufika kwa wakati na huduma nzuri) la safari za Mbeya hadi Mwanza. Sipendi kuunga unga safari kwa maana ya kuishia Dom then niunganishe, hapana, nataka la moja kwa moja. Haijalishi kama litakuwa ni luxury au la, nnachotaka ni safari ya moja kwa moja na isiyokuwa na ubabaishaji kama vile mnasafiri linaharibika kila baada ya lisaa, au mnaenda mwendo wa kumsindikiza bi harusi, hiyo sitaki.
Sijasafiri njia hiyo muda mrefu ndio maana nimekuja hapa nipate uhakika wa basi zuri la abiria kabla sijaianza safari hivi karibuni. Ahsanteni.
 
Hakuna basi luxury kwa safari za mwanza to mbeya...basi ziko mbili tu isamilo na premier line exp...kuhusu kuwahu kufika ni kuwa ukitoka mbeya saa kumi na mbili asubuhi utafika mwanza saa kumi alfajiri siku ya pili
 
Habari wakuu, naomba kujua ni gari gani zuri (kwa maana ya kufika kwa wakati na huduma nzuri) la safari za Mbeya hadi Mwanza. Sipendi kuunga unga safari kwa maana ya kuishia Dom then niunganishe, hapana, nataka la moja kwa moja. Haijalishi kama litakuwa ni luxury au la, nnachotaka ni safari ya moja kwa moja na isiyokuwa na ubabaishaji kama vile mnasafiri linaharibika kila baada ya lisaa, au mnaenda mwendo wa kumsindikiza bi harusi, hiyo sitaki.
Sijasafiri njia hiyo muda mrefu ndio maana nimekuja hapa nipate uhakika wa basi zuri la abiria kabla sijaianza safari hivi karibuni. Ahsanteni.
Isamilo ndo angalau utawahi kufika
 
Back
Top Bottom