Msaada: Baada ya kuroot simu imeanza kuwa slow

Msaada: Baada ya kuroot simu imeanza kuwa slow

dendaboy

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2016
Posts
1,091
Reaction score
744
nipo na jelly ben tecno h5 baada ya kuiroot nikaona nitoe system apps ambazo huwa sizitumii na nyingine nikaamua kuzibadilisha

nikatoa phone call ya system nikaweka treu caller
pia nikatoa system app ya sms nikaweka go sms

lakini kila nilipobandua system apps nilipata onyo hili

removing system apps may cause system instability and other problems

onyo hilo nikalichukulia kua ni mkwara wa developer tu
ili nisitoe za kwake na kuweka za ukweli

ila naona sm imeanza kua slow sana ukigusa app inachukua muda kufunguka sijajua nini cha kufanya kwa anaejua naomba solution ni nini
 
subiri virus waanze kukishambulia iko kitecno....ni risk kuroot matekno...utaanza kuona mara playstore has been stopped..
 
subiri virus waanze kukishambulia iko kitecno....ni risk kuroot matekno...utaanza kuona mara playstore has been stopped..
tayari nimeshaanza kupokea hizo msg kwa apps nilizobadilisha
sasa nini solution m baba
 
Kuna simu za kuroot lakini sio tecno hapo mkuu umeshajimix,bora ungeroot high-end phone yenye RAM kuanzia 3gb na kuendelea

Kwa simu za android sioni sababu ya kuroot labda kwa watumiaji wa iphone wakijail breaking simu zao ni sawa
 
Kuna simu za kuroot lakini sio tecno hapo mkuu umeshajimix,bora ungeroot high-end phone yenye RAM kuanzia 3gb na kuendelea

Kwa simu za android sioni sababu ya kuroot labda kwa watumiaji wa iphone wakijail breaking simu zao ni sawa

Kwa simu za android huoni sababu ya ku root au hujui faida za ku root
 
nipo na jelly ben tecno h5 baada ya kuiroot nikaona nitoe system apps ambazo huwa sizitumii na nyingine nikaamua kuzibadilisha

nikatoa phone call ya system nikaweka treu caller
pia nikatoa system app ya sms nikaweka go sms

lakini kila nilipobandua system apps nilipata onyo hili

removing system apps may cause system instability and other problems

onyo hilo nikalichukulia kua ni mkwara wa developer tu
ili nisitoe za kwake na kuweka za ukweli

ila naona sm imeanza kua slow sana ukigusa app inachukua muda kufunguka sijajua nini cha kufanya kwa anaejua naomba solution ni nini

Umetumia hasira sana yaonesha hata ukipata kitu cha avater yako utambonyezea kila ulie na bifu nae bila kujali worning yoyote
 
nipo na jelly ben tecno h5 baada ya kuiroot nikaona nitoe system apps ambazo huwa sizitumii na nyingine nikaamua kuzibadilisha

nikatoa phone call ya system nikaweka treu caller
pia nikatoa system app ya sms nikaweka go sms

lakini kila nilipobandua system apps nilipata onyo hili

removing system apps may cause system instability and other problems

onyo hilo nikalichukulia kua ni mkwara wa developer tu
ili nisitoe za kwake na kuweka za ukweli

ila naona sm imeanza kua slow sana ukigusa app inachukua muda kufunguka sijajua nini cha kufanya kwa anaejua naomba solution ni nini
Ushaiua hio mbaba haiwez kurud kama mwanzo mi ni root s4 mpaka kesho haipandish H wala 2G nilijarib njia zote kuirudisha kama mwanzo bt haitak

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mm naziroot sana pia hata hiyo developers kuna namna naweza kuifunga pia. Hata ukitaka kubadilisha mfumo ifanane Na Samsung inawezekana
 
Ulitakiwa ujue system apps gani ni safe kuzi uninstall na zipi ni unsafe.

Mara nyingi phone call na sms app hushauriwi kabisa kuzi uninstall.
 
Mm naziroot sana pia hata hiyo developers kuna namna naweza kuifunga pia. Hata ukitaka kubadilisha mfumo ifanane Na Samsung inawezekana
lete hayo maujanja mbaba
 
Back
Top Bottom