Fideliiiz
JF-Expert Member
- Dec 23, 2016
- 632
- 407
Poleni na msiba wa taifa waungwana.
Niende moja kwa moja kwa mada nilipima hospital Baada ya vipimo nikakutwa na U. T. I nyingi nikaandikiwa sindano za powersafe za mishipa now nimemaliza dozi lkn naona mwili wangu hauko sawa kabisa.
Je doctor inawezakuwa sindano zina madhara au zimeacha sumu mwilini, maana nasikia tumbo kuuma upande mmoja na maumivu kifuani na mgongoni naomba msaada
Niende moja kwa moja kwa mada nilipima hospital Baada ya vipimo nikakutwa na U. T. I nyingi nikaandikiwa sindano za powersafe za mishipa now nimemaliza dozi lkn naona mwili wangu hauko sawa kabisa.
Je doctor inawezakuwa sindano zina madhara au zimeacha sumu mwilini, maana nasikia tumbo kuuma upande mmoja na maumivu kifuani na mgongoni naomba msaada