Allydasmartboy001
JF-Expert Member
- Jul 14, 2018
- 599
- 207
Naombeni kujua application nzur za kudownload movie kwenye PC bila kulipia
Huwezi,kadiri muvi inavyokuwa na quality kubwa ndivyo mb zinakuwa nyingiHivi unaweza kudownload movie mp4 HD kwa MB 200 mpk MB 300??
@br_crispin255Tumia site ya 1337x.to au yts.am
Kisha download BitComet - A free C++ BitTorrent Download Client kupata app yakuwez download movies kutoka kweny hizo site
Kuna jamaa kanitumia movie hii inaitwa project power ya 2020 ni HD ina masaa almost mawili na ni MB 300 tuuHuwezi,kadiri muvi inavyokuwa na quality kubwa ndivyo mb zinakuwa nyingi
Hebu nitumie mkuu niprove icho kitu,maana kuangalia kwangu muvie sijawah kukutana na full hd yenye mb 300Kuna jamaa kanitumia movie hii inaitwa project power ya 2020 ni HD ina masaa almost mawili na ni MB 300 tuu
Kutuma mb 300 WhatsApp mtandao sio rafiki ila cheki screenshot hiiHebu nitumie mkuu niprove icho kitu,maana kuangalia kwangu muvie sijawah kukutana na full hd yenye mb 300
Niwekee WhatsApp 0742338377
Unaangalizia kwenye cm au pc?Kutuma mb 300 WhatsApp mtandao sio rafiki ila cheki screenshot hiiView attachment 1546530
Kwenye pc hata kwenye tv kwa flash nacheki fresh tuuUnaangalizia kwenye cm au pc?
Okey, poapoa mkuu ukiweza kupata link nisaidie maana sisi wengine movie ndo maisha yaliyobakia!Kwenye pc hata kwenye tv kwa flash nacheki fresh tuu
Hii sio full HD mkuuKutuma mb 300 WhatsApp mtandao sio rafiki ila cheki screenshot hiiView attachment 1546530
Sidhani kama unaweza kupata movie ya hd kwa mb hizoHivi unaweza kudownload movie mp4 HD kwa MB 200 mpk MB 300??
Resolution yake ni ndogo sana 360.. atleast ingekua 720 ndo ungesema HdKutuma mb 300 WhatsApp mtandao sio rafiki ila cheki screenshot hiiView attachment 1546530
Sidhani kama unaweza kupata movie ya hd kwa mb hizo
Hata hivyo kama unatumia simu au pc zipo website nyingi sana siku hizi unadowanload movies za mp4 au mkv kwa mb 200 hadi 300 zina quality nzuri tu
Kama tv yako kubwa sana ndio utaona utofauti lakini kama tv ya wastani zinaangali hivyo hivyo kiaina
Wakuu mbona ina quality bomba tuuResolution yake ni ndogo sana 360.. atleast ingekua 720 ndo ungesema Hd
Wakuu mbona ina quality bomba tuuView attachment 1546664View attachment 1546666
Ni kweli aisee sijui ugumu unatoka wapi au ni yale mazoea ya kuishi in the same circle daily kwamba ili kitu kiwe hivi ni lazma kiwe kama ulivyo zoea kuona.Watu wa JF wajuaji sana hawawezi kukupongeza kirahisi mpaka wakukosoe kwanza ukose raha ndo furaha yao
Muuliza swali kauliza kama anaweza kupata movie za HD majibu yakawa kwa mb hizo huwezi kupata HD moviesWakuu mbona ina quality bomba tuuView attachment 1546664View attachment 1546666
Kwahiyo mkuu kwako wewe kumfurahisha mtu ni kumpa jibu analolitaka hata kama ni uongoWatu wa JF wajuaji sana hawawezi kukupongeza kirahisi mpaka wakukosoe kwanza ukose raha ndo furaha yao
Hii sio HD soma resolution hapoKutuma mb 300 WhatsApp mtandao sio rafiki ila cheki screenshot hiiView attachment 1546530