Mkuu nielekeze nami mkuu nianze kusajili maana nami Ni FreelancerView attachment 728712
Kama itakufaa nambie njia ya kukutumia.
Nenda playstore tafuta Halotel MBCCSHabari zenu wana jf naomba msaada kwa yule anayejua app ya kusajili laini za Halotel kwa simu zenye android 7.0. Asanteni