mululu
JF-Expert Member
- Nov 7, 2014
- 756
- 408
Wadau Peeples!
Kwakuwa kazi ya harakati inaendelea mpka taifa letu litakapojipatia uhuru wake wa pili na kwakuwa mimi bila shuriti nimejitolea kushiriki kazi hii adhimu.
Natafuta fundi anayeweza kushona kombati za CHADEMA full shati(ile ya mikono mirefu ambayo pia unaweza geuza kuwa mifupi kwa kubana na vishikizo karibu na bega, pia iwe na mkanda wa kubana tumboni na mbwembwe zote, kama zile anavaaga kamanda wetu mbowe) na suruali yake.
Nahitaji Pair 17. Kazi tuliyotumwa na Mungu iendelee kwani CDM ni mpango wa Mungu kuwatoa watz kwenye rindi la ujinga kama ambavyo kazi yetu inadhihirika kila uchao.
UKAWA?
Kwakuwa kazi ya harakati inaendelea mpka taifa letu litakapojipatia uhuru wake wa pili na kwakuwa mimi bila shuriti nimejitolea kushiriki kazi hii adhimu.
Natafuta fundi anayeweza kushona kombati za CHADEMA full shati(ile ya mikono mirefu ambayo pia unaweza geuza kuwa mifupi kwa kubana na vishikizo karibu na bega, pia iwe na mkanda wa kubana tumboni na mbwembwe zote, kama zile anavaaga kamanda wetu mbowe) na suruali yake.
Nahitaji Pair 17. Kazi tuliyotumwa na Mungu iendelee kwani CDM ni mpango wa Mungu kuwatoa watz kwenye rindi la ujinga kama ambavyo kazi yetu inadhihirika kila uchao.
UKAWA?