Mkuu haufiki Nyangao?Mkuu ugweno ni kama upo lindi ndani ndani huko ni ka mji flani ka hovyo kapo mlimani barabara za changarawe magari hayawezi kupishana na kuna waislam wengi sana
Asee kwaiyo kumbe miundombinu ni mibovu kule.Mkuu ugweno ni kama upo lindi ndani ndani huko ni ka mji flani ka hovyo kapo mlimani barabara za changarawe magari hayawezi kupishana na kuna waislam wengi sana
Nimeambiwa ni sehemu ambayo ina watu wachache sana hapa Tanzania.hao ni mchanganyiko na wapare, ni watu wakarimu na wengi wao wasomi pia kuna shule kubwa ya sekondari inaitwa jina hlo. watu wake kama unataka kuoa sio watu wabaili ila anaweza akawa mbaili kama na ww ni mbaili na ni watu wa kusaka sana noti. chakula kipo kingi kwa sababu ni maeneo ya mlimani na mvua zipo mda wote. ila mtafute mshana ambaye ni mpare atakupa tabia nyingi za kigweno.
Ninaanza kupata picha halisi ya maisha ya pale sasa. Waislamu wengi kuliko wakristo?Mkuu ugweno ni kama upo lindi ndani ndani huko ni ka mji flani ka hovyo kapo mlimani barabara za changarawe magari hayawezi kupishana na kuna waislam wengi sana
Mkuu ugweno ni kama upo lindi ndani ndani huko ni ka mji flani ka hovyo kapo mlimani barabara za changarawe magari hayawezi kupishana na kuna waislam wengi sana
Ni kijiji cha upareni so wapare ambao ni waislam wengi kama 95% wako kule huku kwingine wako wapare wasabatoNimeambiwa ni sehemu ambayo ina watu wachache sana hapa Tanzania.
Kwaiyo Mkuu jamii kubwa pale ni wapare?
Muongo. ipo barabara ya lami. na magari yanapishana tu. sema ni mlimani au kijijiniMkuu ugweno ni kama upo lindi ndani ndani huko ni ka mji flani ka hovyo kapo mlimani barabara za changarawe magari hayawezi kupishana na kuna waislam wengi sana
Ukifika pale lazima uwe muislamuNinaanza kupata picha halisi ya maisha ya pale sasa. Waislamu wengi kuliko wakristo?
Lami imeenda usangi mkuuMuongo. ipo barabara ya lami. na magari yanapishana tu. sema ni mlimani au kijijini
Huijui sehemu unamdanganya mwezio, pale kuna kanisa kubwa kkt ni njia ya kwenda usangi barabara ni lami ugweno ni kubwa shighatini ni kijiji tu.Ni kijiji cha upareni so wapare ambao ni waislam wengi kama 95% wako kule huku kwingine wako wapare wasabato
Hata zanzibar kuna makanisa ila uislam umeshamiriHuijui sehemu unamdanganya mwezio, pale kuna kanisa kubwa kkt ni njia ya kwenda usangi barabara ni lami ugweno ni kubwa shighatini ni kijiji tu.
Kwa pale shighatini wakirsto ni wengiHata zanzibar kuna makanisa ila uislam umeshamiri
lami imeenda usangi na ugweno mkuuLami imeenda usangi mkuu
SawasawaHuijui sehemu unamdanganya mwezio, pale kuna kanisa kubwa kkt ni njia ya kwenda usangi barabara ni lami ugweno ni kubwa shighatini ni kijiji tu.