naomba kujua kama mtu yoyote anakijua chuo cha nyamwezi ttc na kikoje ktk kozi kozi ya ualimu wa shule za msingi na maana mazingira yake,ufundishaji, na vitu vingine,,
Kipo Tabora Lipuli kinakingamana na Musoma Utalii College kiko poa sana kwa msaada zaidi nipm nitakusaidia kuna vijana wapo pale wanapiga vitu tena walimu km wewe nadhani ufumbuzi OVA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.