BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,341
Habari zenu watanzania wenzangu,
Sasa nina ombi moja, ombi langu ni kua ninaomba nipate msaada kutoka kwa yeyote anayefahamu kituo cha kulelea watoto yatima ambacho hakijamulikwa ama niseme hakijawahi kupata msaada na zaidi wenye kuwatunza hao watoto wako katika wakati mgumu kuwapatia hao watoto mahitaji muhimu ya kila siku. Unaweza kuniambia hapa hapa ama PM.
Reason for asking: Tuna kikundi chetu tunataka tukawatembelee na kuwapa tulivyonavyo.
Natanguliza shukrani.
Asanteni.
Sasa nina ombi moja, ombi langu ni kua ninaomba nipate msaada kutoka kwa yeyote anayefahamu kituo cha kulelea watoto yatima ambacho hakijamulikwa ama niseme hakijawahi kupata msaada na zaidi wenye kuwatunza hao watoto wako katika wakati mgumu kuwapatia hao watoto mahitaji muhimu ya kila siku. Unaweza kuniambia hapa hapa ama PM.
Reason for asking: Tuna kikundi chetu tunataka tukawatembelee na kuwapa tulivyonavyo.
Natanguliza shukrani.
Asanteni.