Bongo hakuna unlimited ya ukweli matapeli wote tu
ngoja niijaribu leo nijione...hiyo full speedgb za tigo za usiku ni full speed
gb za tigo za usiku ni full speed
wewe ni case ya eneo haibadilishi maana kuwa kifurushi chao wanabana data.kutegemea na eneo,mimi nina laini ya tigo mwaka wa nane sasa ila nmeamua kuitupa,speed ni below 2g.hapo naongelea sinza na ubungo