Huenda uliwahi kukigusa, hata Mimi ilinitokea Mara ya kwanza nilikua kila nikiweka kitiki hakiji ikabidi niwapigie simu wao ndio wakanielekeza kua hiko kitiki kinapigwa Mara moja tu na ukishapiga hautorudia Tena.
Wadau inakuaje kwenye sehem ya kujaza taarifa za chuo na kuweka attachements mbona kwangu haziwe active na niki search mwaka wangu niliosoma chuo naambiwa no data???
Wadau inakuaje kwenye sehem ya kujaza taarifa za chuo na kuweka attachements mbona kwangu haziwe active na niki search mwaka wangu niliosoma chuo naambiwa no data???