hugo jr
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 378
- 1,151
Nilifanyiwa surgery ya tumbo, (pancreatic pseudocyst) tangu mwezi march 2018 na nikapona vizuri lakini after few month napata maumivu makali sana kwenye kitovu na maeneo jirani na hapo nimeenda hospitali ugonjwa hauonekani maana nimefanya ultra sound, x-ray, H pyroli, choo kubwa, typhoid na Hb level kote nimeambiwa niko normal maumivu ni makali sana maana hata nikitumia pain killer sisikii msaada na hospitali wamenipa dawa inaitwa muscle plus lakini wapi naambiwa na dokta hiyo itakua ni after surgery complications nitulie tu, wakuu mwenye ujuzi tafadhali naomba msaada niweze kuludi normal