Msaada: Adds zinanisumbua

mwanya2

Member
Joined
Jul 21, 2015
Posts
94
Reaction score
49
simu yangu nitecno m5. tatizo linalosumbua ni hizi google adds. yani nikiweka data on zinafutana hizo adds mfurulizo hadi nashindwa kufanya chochote. naombeni kwa anaefahamu anisaidie jinsi ya kuweza kuziondoa yani had hii simu nimeichukia.
 
-Clear cache zake then fungua kama itakuja kama mwanzo -Kama ngumu kuondoka pakua app iliyokuwa kama hiyo **APTOIDE**
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…