Sina maana ya kubisha mkuu.. natambua uwezo wa Ngassa toka enzi za Maximo.Mkuu hii ni kutokana na information za All African footballView attachment 1119684View attachment 1119685
Mkuu upo sahihi,alitakiwa kuleta makala!Sina maana ya kubisha mkuu.. natambua uwezo wa Ngassa toka enzi za Maximo.
Ila tu nilitaka uzi huu uwe bora, uweke nyama kama hv ili kuendelea kutambua record hii mpaka pale itakapovunjwa... Mbona nyuzi za akina PLATNUM + KIBA tunajua kuzipamba vzr.
Ni wazo tu