Mrisho Mpoto afunguka baada ya kutukanwa kwa madai ya kusema 'Rais Magufuli ni Mungu'

Ghazwat

JF-Expert Member
Oct 4, 2015
23,718
66,262
ed4a8eac902a82d075b64fedf8779fee.jpg

Mwanamuziki wa nyimbo za miondoko ya asili, Mrisho Mpoto ameonyesha kusikitishwa kwake na baadhi ya watu kumtukana baada ya yeye kuonyesha kumuunga mkono Rais Dkt. Magufuli

Mpoto amesema kuwa sababu kubwa iliyopelekea yeye kutukanwa ni maneno ya uongo yaliyozushwa mitaani kuwa amesema 'Rais Magufuli ni Mungu'.

Kufuatia madai hayo, Mrisho Mpoto ameandika ujumbe huu kupitia ukurasa wake wa Instagram.


"Nimepokea matusi mengi, kebehi, na maneno machafu juu ya mimi kuunga mkono utendaji wa Rais Magufuli, kitu ambacho nakiamini kuna kukubaliana kwa kutokubaliana lakini siyo kumtukana mtu mwingine siyo busara hata kidogo, kwa kuwa tu hakusema au hakufanya ambacho nafsi yako ilipenda kusikia".

"Kilichonifanya niandike ujumbe huu ni kuwa nisiwekewe maneno mdomoni ya kuwa nimesema Rais Magufuli ni Mungu, kwa wale ambao hawakuangalia sherehe za MEI MOSI, naomba niseme kuwa hayo maneno siyo ya kweli na yamebadilishwa kutoka kwenye ukweli wa niliosema

"Mimi ni mtu mwenye hofu na Mungu siwezi kusema hivyo, kumekuwa na utamaduni ikitokea mtu anaunga mkono utendaji wa Rais kunaibuka kundi la wapinga Maendeleo na kuanza kutukana. Naomba ijulikane kuwa sababu za kumunga mkono Rais, yale niliyokuwa nayaongea huko nyuma naona yanafanyiwa kazi hivi sasa"

"Mrisho Mpoto mpaka sasa namuunga mkono Rais Magufuli, iwe nachumia tumbo kwa inavyosemwa au nimevimbilwa kwa shibe". alisema Mpoto
 
ed4a8eac902a82d075b64fedf8779fee.jpg
Mwanamuziki wa nyimbo za miondoko ya asili, Mrisho Mpoto ameonyesha kusikitishwa kwake na baadhi ya watu kumtukana baada ya yeye kuonyesha kumuunga mkono Rais Dkt. Magufuli

Mpoto amesema kuwa sababu kubwa iliyopelekea yeye kutukanwa ni maneno ya uongo yaliyozushwa mitaani kuwa amesema 'Rais Magufuli ni Mungu'.

Kufuatia madai hayo, Mpoto ameandika ujumbe huu kupitia ukurasa wake wa Instagram
"Nimepokea matusi mengi, kebehi, na maneno machafu juu ya mimi kuunga mkono utendaji wa Rais Magufuli, kitu ambacho nakiamini kuna kukubaliana kwa kutokubaliana lakini siyo kumtukana mtu mwingine siyo busara hata kidogo, kwa kuwa tu hakusema au hakufanya ambacho nafsi yako ilipenda kusikia".

"Kilichonifanya niandike ujumbe huu ni kuwa nisiwekewe maneno mdomoni ya kuwa nimesema Rais Magufuli ni Mungu, kwa wale ambao hawakuangalia sherehe za MEI MOSI, naomba niseme kuwa hayo maneno siyo ya kweli na yamebadilishwa kutoka kwenye ukweli wa niliosema

"Mimi ni mtu mwenye hofu na Mungu siwezi kusema hivyo, kumekuwa na utamaduni ikitokea mtu anaunga mkono utendaji wa Rais kunaibuka kundi la wapinga Maendeleo na kuanza kutukana. Naomba ijulikane kuwa sababu za kumunga mkono Rais, yale niliyokuwa nayaongea huko nyuma naona yanafanyiwa kazi hivi sasa"

"Mrisho Mpoto mpaka sasa namuunga mkono Rais Magufuli, iwe nachumia tumbo kwa inavyosemwa au nimevimbilwa kwa shibe".
Na bado kama utaendelea kuwa mnafiki utasulubiwa zaidi,watanzania wanaugulia maisha magumu njaa,hospital hamna dawa,mfumko wa bei sasa hivi unga wa ugali 2600,sukari 3000 alafu wewe baada ya kuongea maisha halisi ya watanzania unapongeza ununuaji wa ndege na treni,babu yangu Mimi kazaliwa mpaka kafa hakuwai ipanda hiyo ndege sembuse mama inanjsaidia nini
 
Na bado kama utaendelea kuwa mnafiki utasulubiwa zaidi,watanzania wanaugulia maisha magumu njaa,hospital hamna dawa,mfumko wa bei sasa hivi unga wa ugali 2600,sukari 3000 alafu wewe baada ya kuongea maisha halisi ya watanzania unapongeza ununuaji wa ndege na treni,babu yangu Mimi kazaliwa mpaka kafa hakuwai ipanda hiyo ndege sembuse mama inanjsaidia nini
Yametimia!!
 
Huyu mtu kama ana watt aombe wasifuate haiba yake, maana ni mtu wa tofauti sana ambaye penye green yy ataona yellow na penye yellow yy ataona black

Poor
 
ed4a8eac902a82d075b64fedf8779fee.jpg
Mwanamuziki wa nyimbo za miondoko ya asili, Mrisho Mpoto ameonyesha kusikitishwa kwake na baadhi ya watu kumtukana baada ya yeye kuonyesha kumuunga mkono Rais Dkt. Magufuli

Mpoto amesema kuwa sababu kubwa iliyopelekea yeye kutukanwa ni maneno ya uongo yaliyozushwa mitaani kuwa amesema 'Rais Magufuli ni Mungu'.

Kufuatia madai hayo, Mpoto ameandika ujumbe huu kupitia ukurasa wake wa Instagram.


"Nimepokea matusi mengi, kebehi, na maneno machafu juu ya mimi kuunga mkono utendaji wa Rais Magufuli, kitu ambacho nakiamini kuna kukubaliana kwa kutokubaliana lakini siyo kumtukana mtu mwingine siyo busara hata kidogo, kwa kuwa tu hakusema au hakufanya ambacho nafsi yako ilipenda kusikia".

"Kilichonifanya niandike ujumbe huu ni kuwa nisiwekewe maneno mdomoni ya kuwa nimesema Rais Magufuli ni Mungu, kwa wale ambao hawakuangalia sherehe za MEI MOSI, naomba niseme kuwa hayo maneno siyo ya kweli na yamebadilishwa kutoka kwenye ukweli wa niliosema

"Mimi ni mtu mwenye hofu na Mungu siwezi kusema hivyo, kumekuwa na utamaduni ikitokea mtu anaunga mkono utendaji wa Rais kunaibuka kundi la wapinga Maendeleo na kuanza kutukana. Naomba ijulikane kuwa sababu za kumunga mkono Rais, yale niliyokuwa nayaongea huko nyuma naona yanafanyiwa kazi hivi sasa"

"Mrisho Mpoto mpaka sasa namuunga mkono Rais Magufuli, iwe nachumia tumbo kwa inavyosemwa au nimevimbilwa kwa shibe".
Safi saana! Yaani kuna watu wanalipwa kila siku kuichafua Serekali hawaoni jema. Hebu wambie warifae nyimbo zakio na kweli yanafanyiowa kazi! Chapa kazi wasikurudushe nyuma. Tuko pamoja!
 
Eti kama vile Mungu alisema ikawa.......

Na wewe kama vile Mungu, sema itakuwa kwa wafanyakazi.


HUYU MPOTO MWENDAWAZIMU? unamfananishaje kiumbe dhaim na Muumba!
 
Tulimpenda sana Mpoto kwa kazi yake ya kumtetea wanyonge sasa ilmradi ameacha kazi hiyo basi awe tayari kupokea hisia za , asilalamike.
 
ed4a8eac902a82d075b64fedf8779fee.jpg
Mwanamuziki wa nyimbo za miondoko ya asili, Mrisho Mpoto ameonyesha kusikitishwa kwake na baadhi ya watu kumtukana baada ya yeye kuonyesha kumuunga mkono Rais Dkt. Magufuli

Mpoto amesema kuwa sababu kubwa iliyopelekea yeye kutukanwa ni maneno ya uongo yaliyozushwa mitaani kuwa amesema 'Rais Magufuli ni Mungu'.

Kufuatia madai hayo, Mpoto ameandika ujumbe huu kupitia ukurasa wake wa Instagram.


"Nimepokea matusi mengi, kebehi, na maneno machafu juu ya mimi kuunga mkono utendaji wa Rais Magufuli, kitu ambacho nakiamini kuna kukubaliana kwa kutokubaliana lakini siyo kumtukana mtu mwingine siyo busara hata kidogo, kwa kuwa tu hakusema au hakufanya ambacho nafsi yako ilipenda kusikia".

"Kilichonifanya niandike ujumbe huu ni kuwa nisiwekewe maneno mdomoni ya kuwa nimesema Rais Magufuli ni Mungu, kwa wale ambao hawakuangalia sherehe za MEI MOSI, naomba niseme kuwa hayo maneno siyo ya kweli na yamebadilishwa kutoka kwenye ukweli wa niliosema

"Mimi ni mtu mwenye hofu na Mungu siwezi kusema hivyo, kumekuwa na utamaduni ikitokea mtu anaunga mkono utendaji wa Rais kunaibuka kundi la wapinga Maendeleo na kuanza kutukana. Naomba ijulikane kuwa sababu za kumunga mkono Rais, yale niliyokuwa nayaongea huko nyuma naona yanafanyiwa kazi hivi sasa"

"Mrisho Mpoto mpaka sasa namuunga mkono Rais Magufuli, iwe nachumia tumbo kwa inavyosemwa au nimevimbilwa kwa shibe".

Leo tunamcheka na kumdhihaki Mrisho Mpoto kuwa ' anajipendekeza ' kwa Rais Dkt. Magufuli ila hapo hapo na sisi humu tumesahau kuwa wengi wetu nasi humu / humo Maofisini mnaongoza kwa ' Kujipendekeza ' kwa Mabosi zenu tena wengine hadi mnasambaza majungu, uwongo kwa Mabosi zenu ili wawapende na wawaamini na kama haitoshi kuna wengine kutwa mnazunguka kwa ' Waganga ' wa Kienyeji ili tu muweze ' kuwateka ' akili hao hao Mabosi zenu kusudi wawaone nyie ni bora kuliko wenzenu hapo Kazini ulipo / humo Makazini mlipo.

Tuacheni ' Unafiki ' humu na mwacheni Mrisho Mpoto nae apate kwani hata Yeye pia huu nao ni wakati wake kama ambavyo Wasanii wengine walifanya katika nyakati za Kiuongozi zilizopita lakini leo tunajifanya kuwasahau au kuwaficha kwa kivuli cha kumsema Mrisho Mpoto.

Hivi kama Wewe unaona Mrisho Mpoto anajipendekeza au ana ' Mahaba ' makubwa na Rais Dkt. Magufuli kwani na Wewe pia si unaweza ukaamua hata sasa hivi ' kujipendekeza ' kwa JPM kama Yeye? Tuacheni Wivu huu na Chuki hii ya Kipumbavu. Mrisho Mpoto akimsifia au kuonyesha mahaba yake kwa Rais au akijipendekeza Kwake Wewe anakupunguzia Kula au kupata Pesa yako ya Kujikimu na Familia yako?

Watanzania tubadilike!
 
Na bado kama utaendelea kuwa mnafiki utasulubiwa zaidi,watanzania wanaugulia maisha magumu njaa,hospital hamna dawa,mfumko wa bei sasa hivi unga wa ugali 2600,sukari 3000 alafu wewe baada ya kuongea maisha halisi ya watanzania unapongeza ununuaji wa ndege na treni,babu yangu Mimi kazaliwa mpaka kafa hakuwai ipanda hiyo ndege sembuse mama inanjsaidia nini
Nenda shambani ukalime we vip...
 
Hawa waliomtusi itakuwa ni wale waliomiss JK na kuamua kumuimbia bungeni.
 
Back
Top Bottom