Ameikuta R-Chugga ikiwa imepaa kimaendeleo ina barabara, maji, shule, hospitali n.k
Ila tatizo lake ni CCM maana ukiwa huko ndani basi wewe ni maskini kimwili, kiroho, kimkakati.
angalia sehemu palipochukuliwa na CHADEMA TANGU mwaka 2000 huwezi kuifananisha na chatto au kule kwa mkwere na mjomba wake makonde